Makonda: Ujenzi wa Dar es Salaam ya viwanda umeanza rasmi

Una issue mbili za kushugulika nazo kwa sasa..
-Kashfa ya kutumia jina ambalo sio lako.
Wewe unaitwa Daudi Bashite.. Eleza jina la Paul Makonda umelitoa wapi. Clear yourself kwenye hii kashfa mbaya ya kununua vyeti baada ya kupata div zero form 4.

-Kuitikia wito wa Mahakama.
Ulivyokuwa unataja majina ya wauza unga ulitaka watuhumiwa wote watii wito wako kwa kwenda central police. Na wewe sasa TII wito halali wa Mahakama kwa kwenda Mahakamani kwenye kesi aliyokufungulia Mh Mbowe.

Mambo ya viwanda ni usanii mwingine unaleta..!!
Viwanda bila Mtaji umewahi kuona wapi??
Acha MZAHA.
Fanya hayo niliokueleza.

Naomba kwa interest ya utu ,akishaprove kuwa yeye. Ni paul urudi hapa utuambiee hasa lengo lako duniani ni nini.
 
Safi sana Makonda...CHADEMA kwisha habari yao

Kwisha habari yao wapi wewe,nendeni mahakamani mkasikilize kesi yenu.Hayo mengine yakudanganyia watanzania na pesa za wauza ngada wa GSM,waliowahonga Magari na majumba.
 
Nakumbuka sana utotoni, nilipokuwa nimefanya kosa na kujua kuna adhabu inanisubiri amani ilikuwa inanitoweka kabisa. Sipati amani nikawa kama navyokuwa siku nyingine, mara nyingine nilibeba kwanja nikafyeka uwanja wote na kupanga mawe mstari kufuata ukuta, nikitaraji baba ataiona kazi yangu zaidi ya makosa yangu.

Baba naye alikuwa si mtu wa sport sport, atanipongeza kwa kufyeka uwanja lkn mikwaju iko pale pale.
i wish i could be ndalichako
 
washirika wa maendeleo ? Mbona Mkuu anatabia ya kuwa karibu na watu na makampuni tata ambayo tayari yamechokwa kwa tuhuma mbali mbali....
AZIMIO HOUSING ESTATE Ni kampuni ambayo tayari ina kashfa kubwa huko NSSF kwenye nradi wa Dege kule Kigamboni. Wamefanya ufisadi mkubwa kwenye mradi ambao hakuna mpaka sasa hakuna nyumba waloziuza .
mmiliki wa Azimio Housing ni Baghdad. huyu jamaa alishafungwa jela enzi za Mwinyi kwa kufanya utapeli wa viwanja kila mahali Dar kwa kushirikiana na Ardhi. Alifungwa 5 years jela..leo katoka ndio mshirika wa maendeleo.
Pia huyu huyu Baghadad alitaka kuichukua uwanja wa Mnazi Mmoja kujenga maduka lakini wazalendo wa Dra es salaam wakayavunja mabati na program ile ikafutwa.
inaelekea Makonda haijui Dar ingawa anataka kutufukuza na ndala ...hawajaui hata watu wa kuleta maendeleo ..anadaka watu wenye kashafa kama njia ya kuwasaidia kutakatisha fedha chafu...
hapana inatosha ukitaka kuwapa viwanja naona umekosa ubunifu.
manispaa lilinunueni eneo la gerezani muwalipe fidia wenye nyumba pale na mujenge majengo makubwa ya ujasiri mali ..mfano wa Jua kali kule kenya...wale wa gerezani watapata mahali salama na wengine nao watapata sehemu ya viwanda ambayo tayari ina huduma muhimu na wateja.

Ardhi ya Kugaiwa na matapeli ni njia ya kuwasaidia kuwatoa kwenye tuhuma...hatutaki...unafanya kwa GSM na sasa kwa Baghdad..kunani ?
 
washirika wa maendeleo ? Mbona Mkuu anatabia ya kuwa karibu na watu na makampuni tata ambayo tayari yamechokwa kwa tuhuma mbali mbali....
AZIMIO HOUSING ESTATE Ni kampuni ambayo tayari ina kashfa kubwa huko NSSF kwenye nradi wa Dege kule Kigamboni. Wamefanya ufisadi mkubwa kwenye mradi ambao hakuna mpaka sasa hakuna nyumba waloziuza .
mmiliki wa Azimio Housing ni Baghdad. huyu jamaa alishafungwa jela enzi za Mwinyi kwa kufanya utapeli wa viwanja kila mahali Dar kwa kushirikiana na Ardhi. Alifungwa 5 years jela..leo katoka ndio mshirika wa maendeleo.
Pia huyu huyu Baghadad alitaka kuichukua uwanja wa Mnazi Mmoja kujenga maduka lakini wazalendo wa Dra es salaam wakayavunja mabati na program ile ikafutwa.
inaelekea Makonda haijui Dar ingawa anataka kutufukuza na ndala ...hawajaui hata watu wa kuleta maendeleo ..anadaka watu wenye kashafa kama njia ya kuwasaidia kutakatisha fedha chafu...
hapana inatosha ukitaka kuwapa viwanja naona umekosa ubunifu.
manispaa lilinunueni eneo la gerezani muwalipe fidia wenye nyumba pale na mujenge majengo makubwa ya ujasiri mali ..mfano wa Jua kali kule kenya...wale wa gerezani watapata mahali salama na wengine nao watapata sehemu ya viwanda ambayo tayari ina huduma muhimu na wateja.

Ardhi ya Kugaiwa na matapeli ni njia ya kuwasaidia kuwatoa kwenye tuhuma...hatutaki...unafanya kwa GSM na sasa kwa Baghdad..kunani ?

Sasa yeye mwenyewe hana moral authority ya kujiita msafi ataweza kufanya kazi na wasafi??Huyo huo ni mradi anaotaka kuwapelekea GSM,walio muhonga magari na majumba na bwana mkubwa asiposhtuka basi utawala wake ndiyo utakuwa na ufisadi ulipita kiwango kwa kupitia wateule wake
 
Malighafi ya viwanda iwapo ipo nchini, zoezi litafanikiwa na naweza kusema kuwa bidhaa zote zitakazofanana na tunazotengeneza zisiruhusiwe kuingia kutoka nje ya nchi ili demand yetu iwe kubwa tuzalishe bidhaa nyingi kwa kuajili vijana wengi wa kitanzania kuondoa tatizo la ajira!
Tukaribishe wawekezaji kwenye elimu ya veta!
 
*RC MAKONDA: UJENZI WA DAR ES SALAAM YA VIWANDA UMEANZA RASMI*

Ama kwa hakika kila mmoja wetu anaifahamu dira na dhamira ya serikali ya awamu ya *tano ya Dr. John Pombe Magufuli ya kuifuta historia yetu ya aibu ya muda mrefu ya kuwa na taifa la wachuuzi kwa kuligeuza kuwa taifa la wazalishaji kupitia kuchochea uanzishwaji wa viwanda vya kutosha chini ya mwamvuli wa sera ya Tanzania ya viwanda.*

Ni kwasababu hiyo tu, sisi watendaji wake aliotuamini na kutupatia dhamana, hatuna budi kuendelea kuwaza zaidi, kutenda zaidi na kushirikisha washirika wengi zaidi ili kwa pamoja tuikamilishe ndoto hii ya Rais wetu mpendwa.

Kuelekea kutimiza azma hii *tayari ninapozungumza nimekamilisha maongezi na mshirika wetu wa maendeleo Azimio Housing Estate kampuni ambayo imekubali kutupatia eneo lililopo Kigamboni lenye ukubwa wa ekari 1500 la thamani ya zaidi ya bilioni 121 na milioni 470 litakalotumika kama eneo maalumu nitakaloligawa kwa wajasiriamali zaidi ya 3,000 kwa ajili ya ujenzi wa viwanda vidogo vya idadi hiyohiyo.* Pamoja na mambo mengineyo mpango huu *unakusudia kuwasaidia wamiliki wa viwanda vidogo kupata maeneo yao ya kufanyia kazi ili kuwapunguzia gharama za kukodi maeneo, kuwaepusha na usumbufu wa kukaa maeneo yasiyo rasmi pamoja na kuwapatia uhakika wa kuwa na anuani (address) za kudumu.*

Kimsingi chini ya utaratibu huu *kila mmiliki wa kiwanda kidogo tutampatia Sqm 2,000 hivyo eneo hilo litabeba viwanda vidogo zaidi ya 3,000 ambavyo vitatengeneza ajira za moja kwa moja zisizopungua 15,000 zitakazoambatana na ajira zisizo za moja kwa moja zipatazo 43,000.*

Kwa namna ya kipekee niendelee kuwashukuru Azimio Housing Estate ambao *wameendelea kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya tano ambayo Mpaka sasa imedhihirisha ni kwa kiasi gani uongozi wake unafanya kila jambo kwa kuzingatia maslahi mapana ya wananchi wake.*

Na mfano wa hili ni mdogo tu, badala ya kuhangaika kuomba ekari zote 1500 kwa ajili ya wamiliki hawa wa viwanda vidogo wanaopambana kubadili historia za vipato vyao usiku na Mchana ningeweza kujiombea hata ekari 10 tu kwa ajili yangu na mke wangu nikatulia.

Itoshe tu kusema kwamba, *maamuzi ya kutanguliza maslahi ya wananchi ndio yameufanya mkoa wangu Mpaka sasa kuendelea kutekeleza miradi yenye thamani ya zaidi ya bilioni 160 ambazo nimezipata kwa wadau wa maendeleo waliotuchangia na kufanikisha utekelezaji wa miradi hiyo inayojumuisha ujenzi wa wodi tatu kubwa na za kisasa zenye ghorofa tatu tatu, theatre kubwa za upasuaji, hospitali kubwa ya Chanika ya zaidi ya bilioni 8 za kitanzania, Makao Makuu ya kisasa ya Bakwata ambayo yapo katika hatua za mwisho, madarasa, barabara, mahakama 20 za mwanzo na Vituo 20 vya polisi.*

Na kwa ushahidi wa haya machache niliyoyataja ibaki tu kuwa ushahidi ya kwamba, *utajiri wa Makonda ni wa watu kwa Maendeleo ya watu kwani Dar es Salaam tuitakayo ipo mikononi mwa wanadar es salaam wenyewe*.

Ardhi ya NSSF ambayo hawakupewa na AHE katika mradi wa Kigamboni ECO village kwa mujibu wa mkaguzi na mdhiti wa hesabu za serikali na kamati ya bunge bado ipo na hiyo kashifa ya NSST ans AHS imefikia wapi? Bei wametuuziaje siyo ile ya 800m kwa ekari moja????? Hata hivyo nashukuru kwa ufadhili wa GSM ila uwe katika usafi timilifu.
 
Naomba kwa interest ya utu ,akishaprove kuwa yeye. Ni paul urudi hapa utuambiee hasa lengo lako duniani ni nini.
Mind u.. Na akishindwa ku prove kwamba hilo jina ni lake hapo hapo he is a criminal..
Na wewe mtetezi wake ndio uje hapa kueleza sababu za wewe kuwepo hapa duniani.
 
Ile ni kesi ya madai sio lazima awepo

Nani kakwambia??Ina maana ukiitwa mahakamani unakataa wito.??Mwambie aende kusikiliza kesi yake yeye hana KINGA ya kutumia madaraka yake vibaya.Tena umwambie ni bora kuwa TEJA la NGADA kuliko TEJA la MADARAKA
 
Una issue mbili za kushugulika nazo kwa sasa..
-Kashfa ya kutumia jina ambalo sio lako.
Wewe unaitwa Daudi Bashite.. Eleza jina la Paul Makonda umelitoa wapi. Clear yourself kwenye hii kashfa mbaya ya kununua vyeti baada ya kupata div zero form 4.

-Kuitikia wito wa Mahakama.
Ulivyokuwa unataja majina ya wauza unga ulitaka watuhumiwa wote watii wito wako kwa kwenda central police. Na wewe sasa TII wito halali wa Mahakama kwa kwenda Mahakamani kwenye kesi aliyokufungulia Mh Mbowe.

Mambo ya viwanda ni usanii mwingine unaleta..!!
Viwanda bila Mtaji umewahi kuona wapi??
Acha MZAHA.
Fanya hayo niliokueleza.
Huyo mzee wa marinda anamaanisha vi-wonder na si viwanda. Mpuuzie tuu!
 
Hivi Azimio si ndio wametajwa na Bunge kwamba waliuza hekari moja kwa NSSF Kwa sh million 800 au sio hao???
 
watu bhan wamepewa eneo wanataka wapewe na mitaji
wakipewa mitaji watasema wapewe na vifaa vya kujengea hayo maeneo wakipewa watasema mbali tunataka usafili yani mweusi ni mweusi tu
Mweusi ni mweusi kweli, huyu bwana Mkubwa ana hesabu za weusi, mjasiria mali ana mtaji wa Tsh ngapi? Ana mtaji kubwa million 5 huyo ndio atapewa kiwanja aweke kiwanda? Basi mi FUNDI chuma ili nifungue kiwanda kidogo mchaganuo wake ni million 100 na Si pungufu tena za kuanzia, je ni Bank gani inayoniwezesha KWA mkopo huo halafu riba yake iwe ndogo, pili vigezo na masharti vya kunikopesha bila kuwa na mali iso hamishika na wadhamini nitaviweza, hayo maeneo watachukua wenye pesa na Si walala hoi waitwao wajasiria mali, [HASHTAG]#weusiclassic[/HASHTAG]
 
kutoka kweny agenda ya ombaomba,usafi,shisha,madawa ya kulevya,kwa sasa tumehamia vi~wonder
# I hate Tz
 
Hii singo itauza!

Japo sifahamu ni utafiti gani aliufanya RC na kubaini kwamba ardhi ndio changamoto sekta ya viwanda.
 
Mweusi ni mweusi kweli, huyu bwana Mkubwa ana hesabu za weusi, mjasiria mali ana mtaji wa Tsh ngapi? Ana mtaji kubwa million 5 huyo ndio atapewa kiwanja aweke kiwanda? Basi mi FUNDI chuma ili nifungue kiwanda kidogo mchaganuo wake ni million 100 na Si pungufu tena za kuanzia, je ni Bank gani inayoniwezesha KWA mkopo huo halafu riba yake iwe ndogo, pili vigezo na masharti vya kunikopesha bila kuwa na mali iso hamishika na wadhamini nitaviweza, hayo maeneo watachukua wenye pesa na Si walala hoi waitwao wajasiria mali, [HASHTAG]#weusiclassic[/HASHTAG]
sio kila cha bure lazima upate wewe waachie wengine chasaizi yako kikija utajiongeza
 
*RC MAKONDA: UJENZI WA DAR ES SALAAM YA VIWANDA UMEANZA RASMI*

Ama kwa hakika kila mmoja wetu anaifahamu dira na dhamira ya serikali ya awamu ya *tano ya Dr. John Pombe Magufuli ya kuifuta historia yetu ya aibu ya muda mrefu ya kuwa na taifa la wachuuzi kwa kuligeuza kuwa taifa la wazalishaji kupitia kuchochea uanzishwaji wa viwanda vya kutosha chini ya mwamvuli wa sera ya Tanzania ya viwanda.*

Ni kwasababu hiyo tu, sisi watendaji wake aliotuamini na kutupatia dhamana, hatuna budi kuendelea kuwaza zaidi, kutenda zaidi na kushirikisha washirika wengi zaidi ili kwa pamoja tuikamilishe ndoto hii ya Rais wetu mpendwa.

Kuelekea kutimiza azma hii *tayari ninapozungumza nimekamilisha maongezi na mshirika wetu wa maendeleo Azimio Housing Estate kampuni ambayo imekubali kutupatia eneo lililopo Kigamboni lenye ukubwa wa ekari 1500 la thamani ya zaidi ya bilioni 121 na milioni 470 litakalotumika kama eneo maalumu nitakaloligawa kwa wajasiriamali zaidi ya 3,000 kwa ajili ya ujenzi wa viwanda vidogo vya idadi hiyohiyo.* Pamoja na mambo mengineyo mpango huu *unakusudia kuwasaidia wamiliki wa viwanda vidogo kupata maeneo yao ya kufanyia kazi ili kuwapunguzia gharama za kukodi maeneo, kuwaepusha na usumbufu wa kukaa maeneo yasiyo rasmi pamoja na kuwapatia uhakika wa kuwa na anuani (address) za kudumu.*

Kimsingi chini ya utaratibu huu *kila mmiliki wa kiwanda kidogo tutampatia Sqm 2,000 hivyo eneo hilo litabeba viwanda vidogo zaidi ya 3,000 ambavyo vitatengeneza ajira za moja kwa moja zisizopungua 15,000 zitakazoambatana na ajira zisizo za moja kwa moja zipatazo 43,000.*

Kwa namna ya kipekee niendelee kuwashukuru Azimio Housing Estate ambao *wameendelea kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya tano ambayo Mpaka sasa imedhihirisha ni kwa kiasi gani uongozi wake unafanya kila jambo kwa kuzingatia maslahi mapana ya wananchi wake.*

Na mfano wa hili ni mdogo tu, badala ya kuhangaika kuomba ekari zote 1500 kwa ajili ya wamiliki hawa wa viwanda vidogo wanaopambana kubadili historia za vipato vyao usiku na Mchana ningeweza kujiombea hata ekari 10 tu kwa ajili yangu na mke wangu nikatulia.

Itoshe tu kusema kwamba, *maamuzi ya kutanguliza maslahi ya wananchi ndio yameufanya mkoa wangu Mpaka sasa kuendelea kutekeleza miradi yenye thamani ya zaidi ya bilioni 160 ambazo nimezipata kwa wadau wa maendeleo waliotuchangia na kufanikisha utekelezaji wa miradi hiyo inayojumuisha ujenzi wa wodi tatu kubwa na za kisasa zenye ghorofa tatu tatu, theatre kubwa za upasuaji, hospitali kubwa ya Chanika ya zaidi ya bilioni 8 za kitanzania, Makao Makuu ya kisasa ya Bakwata ambayo yapo katika hatua za mwisho, madarasa, barabara, mahakama 20 za mwanzo na Vituo 20 vya polisi.*

Na kwa ushahidi wa haya machache niliyoyataja ibaki tu kuwa ushahidi ya kwamba, *utajiri wa Makonda ni wa watu kwa Maendeleo ya watu kwani Dar es Salaam tuitakayo ipo mikononi mwa wanadar es salaam wenyewe*.

Kama ni kweli Azimio housing wamempa hilo eneo basi mjue kuna jambo nyuma yake.hawa Azimio ndo walioitapeli Nssf kwa kutoa ardhi kwa shs 800 kwa ekari na kuwa na share ya 55%:45 Azimio na Nssf,swala lao bado lina utata na bado liko kiuchunguzi,pia haohao walitapeli Nssf USD 20m kwa ajili ya shamba huko arusha meru
 
Back
Top Bottom