Makonda: Sio lazima niteuliwe, ninaweza kuwa Kiongozi wa familia

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Mar 8, 2020
2,156
4,510
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa Paulo Makonda ameibuka upya kwa kusema kuwa sio lazima apate uteuzi bali anaweza hata kuwa Kiongozi wa Familia.

“Mimi ni mkulima, ni mfanyabiashara pia kwa hiyo ninaweza kuwa na mchango mkubwa sana hata kwenye kampuni ninazoweza kufanya kazi. Siyo lazima uwe kiongozi wa kuteuliwa au wa kupigiwa kura, unaweza kuwa kiongozi hata wa familia,” amesema.

Mheshimiwa Makonda kabla ya kuachia Ukuu wa Mkoa aligombea Ubunge wa Jimbo la Kigamboni kupitia CCM bila mafanikio.

MCL
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom