thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
Ni hivi waziri katika baraza la mawaziri lijalo, hutaki kasafishe choo cha standTangu wajumbe wampuuze pale kigamboni, ni Kama kapigwa 'laana' huyu brother!
Ni hivi waziri katika baraza la mawaziri lijalo, hutaki kasafishe choo cha standTangu wajumbe wampuuze pale kigamboni, ni Kama kapigwa 'laana' huyu brother!
Nadhani Hajui Kuwa Umoja, Upendo, Mshikamano Upo Kwasababu Ya Uoga Wetu Watanzania, Mwaka Ambao Tutaondoa Nidhamu Ya Uoga Na Kuwachagua Viongozi Tunaowataka Na Kuhakikisha Tunawasimamia Wanapatikana Hayo Maneno Tunayaweka Pembeni Kwanza...Yaani wewe mtoto Makonda unanikosha mimi wewe mtoto wewe.Yaani unawapa yale ambayo yana ukweli asilimia mia moja.Halafu mgombea anachekelea akiwa ndani ya mwendo kasi ambavyo ni 'vitu' visivyomsaidia mwanannchi.
Makonda ,jiji limezubaa utadhani tuko kwenye matanga.Hakuna tena amshaamsha.
Makonda umenikosha Sana
Tena Yuko chekechea kabisaa
Haahaa analindwa na jpm na ziko taarifa mkuu wa mkoa wa Dar huenda akatenguliwa Makonda akapewa tena nafasi yakeAlitakiwa awe Segerea au awe ametandikwa risasi kama wale wahalifu ambao huwa tunasikia polisi wamewaua kwa kuwa wamejaribu kutoroka
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama anamjua aliyefanya unyama huo si angekwenda kufungua mashtaka Mahakamani ikizingatiwa kuwa yeye ni mwanasheria?Lissu anadai na kumtaja hadharani Huyu mkuu wa mkoa mstaafu kuwa ni moja kati ya vijana waliotumwa kufanikisha shambulizi la Mauaji ya Lissu.
Lissu huwa ni mkweli siku zote, sijawahi kumuona akiwa mnafiki na Muongo.
Mungu anshughulika na watesi wote wa Lissu.
Huyu nae hajitambui, mungu amemkataa ,amemkataa ,na amemkataa siku yake ukifika atajutaLeo alipokuwa anatoka kanisani aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda alifanya mahojiano na channel ya mtandaoni inayoitwa Sauti za watu maarufu na kuulizwa anaona "je ni kweli Lissu anaweza kuwa rais 2020?"
Makonda : hawa wanarukaruka tu, CHADEMA bado sana kuchukua nchi, rais wa kwanza kama yupo basi atakuwa darasa la tatu au la nne anajiandaa na mtihani wa taifa,sio hawa wanaokaa miaka minne nje halafu wiki mbili kabla ya uchaguzi wananunua mitumba Manzese na kudai tayari wanajua shida za wananchi"
Wadau yapi maoni yako.
Kawaambia ukweli, ila wabishi hawa na raisi wao wa migaLeo alipokuwa anatoka kanisani aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda alifanya mahojiano na channel ya mtandaoni inayoitwa Sauti za watu maarufu na kuulizwa anaona "je ni kweli Lissu anaweza kuwa rais 2020?"
Makonda : hawa wanarukaruka tu, CHADEMA bado sana kuchukua nchi, rais wa kwanza kama yupo basi atakuwa darasa la tatu au la nne anajiandaa na mtihani wa taifa,sio hawa wanaokaa miaka minne nje halafu wiki mbili kabla ya uchaguzi wananunua mitumba Manzese na kudai tayari wanajua shida za wananchi"
Wadau yapi maoni yako.
Sio ajabu hata baada ya kumshindilia utitili wa marisasi hakutegemea kumwona akiwa hai.Leo alipokuwa anatoka kanisani aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda alifanya mahojiano na channel ya mtandaoni inayoitwa Sauti za watu maarufu na kuulizwa anaona "je ni kweli Lissu anaweza kuwa rais 2020?"
Makonda : hawa wanarukaruka tu, CHADEMA bado sana kuchukua nchi, rais wa kwanza kama yupo basi atakuwa darasa la tatu au la nne anajiandaa na mtihani wa taifa,sio hawa wanaokaa miaka minne nje halafu wiki mbili kabla ya uchaguzi wananunua mitumba Manzese na kudai tayari wanajua shida za wananchi"
Wadau yapi maoni yako.
Hili libumunda jingine lijiwe lingebadilisjha Jimbo la kigamboni na kuwa kata halafu hili libumunda kishtobe lingekurupuka toka kwao koromije kuja kugombea udiwani llisingepata
Kwenye uchaguzi wa mwaka 1995 wapigakura tulitendewa haki kupitia mdahalo wa wazi. Mdahalo umgesaidia sana kutuonyesha kama wagombea urais waliosimamishwa na vyama vya upinzani wanatosha au la.Leo alipokuwa anatoka kanisani aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda alifanya mahojiano na channel ya mtandaoni inayoitwa Sauti za watu maarufu na kuulizwa anaona "je ni kweli Lissu anaweza kuwa rais 2020?"
Makonda : hawa wanarukaruka tu, CHADEMA bado sana kuchukua nchi, rais wa kwanza kama yupo basi atakuwa darasa la tatu au la nne anajiandaa na mtihani wa taifa,sio hawa wanaokaa miaka minne nje halafu wiki mbili kabla ya uchaguzi wananunua mitumba Manzese na kudai tayari wanajua shida za wananchi"
Wadau yapi
Labda baraza la 'uani' siyo baraza la mawaziri.Ni hivi waziri katika baraza la mawaziri lijalo,hutaki kasafishe choo cha stand
Asubiri akiomba JPM apite ili ateuliwe. Yeye, Katambi, na Mayala ni "opportunists".Leo alipokuwa anatoka kanisani aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda alifanya mahojiano na channel ya mtandaoni inayoitwa Sauti za watu maarufu na kuulizwa anaona "je ni kweli Lissu anaweza kuwa rais 2020?"
Makonda : hawa wanarukaruka tu, CHADEMA bado sana kuchukua nchi, rais wa kwanza kama yupo basi atakuwa darasa la tatu au la nne anajiandaa na mtihani wa taifa,sio hawa wanaokaa miaka minne nje halafu wiki mbili kabla ya uchaguzi wananunua mitumba Manzese na kudai tayari wanajua shida za wananchi"
Wadau yapi maoni yako.
In my humble opinion Makonda has never been popular. If anything, he has been a disgrace to public office. Kitu pekee anachoweza ni kutumwa kazi chafu ya kisiasa. Na hiyo kazi chafu ndiyo inayopelekea kupigana kufa na kupona kuhodhi madaraka ya kisiasa.Paulo Makonda anajisikiaje akimuona mtu aliyempangia shambulio la mauaji anakuwa popular and inflential kuliko yeye zero brain wa taifa ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais wa nchi kutoka chadema KAMA nchi italaaniwa na Mungu basi nafikiri ndio wazazi wake wanapanga watumie staili gani awe conceived...Polisi, Msajili, NEC, TISS, wote wanahangaika na mtu mmoja(LISSU), halafu huyu anaongea ujinga gani sijui!