Inaonekana kwa kila hali, kila kitu unamwamini sana Lissu. Hivi ni kweli dunia hii kuna mtu ambae hajawahi kusema uongo? 😃😃 Sidhani Kama mke wake anaweza kuwa anamwamini Lissu kwa kiwango chako. Hongera Sana mkuu.Lissu anadai na kumtaja hadharani Huyu mkuu wa mkoa mstaafu kuwa ni moja kati ya vijana waliotumwa kufanikisha shambulizi la Mauaji ya Lissu.
Lissu huwa ni mkweli siku zote, sijawahi kumuona akiwa mnafiki na Muongo.
Mungu anshughulika na watesi wote wa Lissu.
Picha yako ya mtu akiombewa inataka kutumbia nini?
Makonda anasumbuliwa na laana ya mzee WariobaMakonda umenikosha Sana
Tena Yuko chekechea kabisaa
Sikia dongo halali hilo toka kwa MakondaPolisi, Msajili, NEC, TISS, wote wanahangaika na mtu mmoja(LISSU), alafu huyu anaongea ujinga gani sijui!
Alitakiwa awe Segerea au awe ametandikwa risasi kama wale wahalifu ambao huwa tunasikia polisi wamewaua kwa kuwa wamejaribu kutorokaHaaha eti yuko darasa la tatu duh, huyu alikuwa mkuu wa mkoa na kipindi chake alivunja haki nyingi sana za binadamu
Makonda waheshimu wajumbe.chaguani chadema maendeleo hayana chamaHahaha!!!,Makonda kiboko,nimekumiss sana ,liamshe dude