Makonda: Ndoa zote ndani ya mkoa wa Dar es Salaam kusajiliwa

MM NAWASIWASI NDOA AMBAYO HAIJASAJILIWA NIYAKWAKWE MAANA SISI WENGINE TUNA VYETI TOKA SERIKALI KUPITIA KWA TAASISI ZA DINI SASA KAMA ANAHITAJI HILO AENDE RITA inaonekana ana gap kubwa la uongozi
Dogo anajifanya anajua sana wakati hana analojua
 
Haya ndio madhara ya kuteua mtu mwenye sifa pekee ya "kujua kusoma na kuandika tu". Mkoa wake una matatizo makubwa sana ila RC kaona hili ndo analopaswa kulitolea tamko na kulisimamia.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom