Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vita ya mashoga aliishia wapi vile maana naona bado wapo wapo tuMkuu wa mkoa wa Dares salaam amepania kuanzisha kanzi data ya ndoa zote ndani ya mkoa ili kuwanusuru wanawake wanaotapeliwa kimapenzi na kudanganywa kwamba wataolewa na kuishia kutumika tu bila ndoa.
My take .
Hii idea inaweza kuwa mwiba mchungu mitaa ya ufipa na watakuja kupinga sana kwa sababu ya mwenyekiti wao mpenda totozi( fly to KIA baby)
=====
Dar, wanaume walaghai kukiona
Monday August 12 2019
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania, Paul Makonda amesema kuna mpango wa kuanzisha kanzi data ya ndoa zote zilizopo kwenye mkoa wake ili kupunguza utapeli wanaofanyiwa wanawake kwa kudanganywa kuolewa.
IN SUMMARY
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania, Paul Makonda amezungumzia mpango mkakati wa mkoa huo wa kupambana na wanaume walaghai kwa wanawake ikiwamo kuzisajili ndoa zote za mkoa huo.
Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania, Paul Makonda amesema kuna mpango wa kuanzisha kanzi data ya ndoa zote zilizopo kwenye mkoa wake ili kupunguza utapeli wanaofanyiwa wanawake kwa kudanganywa kuolewa.
Kanzidata hiyo itahusisha usajili wa ndoa zote ili wanaume waliooa waweze kubainika na kuwanusuru wanawake wasitapeliwe na kuumizwa mioyo kwa kutegemea ndoa.
Makonda amesema pamoja na kanzidata hiyo atatumia mkutano wa SADC kupata uzoefu kutoka kwa nchi nyingine kufahamu namna gani wanakabiliana na utapeli wa aina hiyo.
Mkuu huyo wa mkoa amesema kumekuwepo na malalamiko mengi ya wanawake kuumizwa hivyo wakati umefika wa kuanza kushughulikia.
“Tutaanza kuangalia na kupata uzoefu kwa wenzetu wa SADC ambao kama haya wanashughulikiaje na mkutano ukiisha tutajadiliana kama mkoa tunawezeshaje usajili huo,” amesema
“Kanzidata hii itawasaidia wanawake wasitapeliwe, mtu akitaka kukuoa utaenda mtandaoni na kuangalia taarifa zake, utabaini kama ameoa au la na vilevile itawasaidia hata wanawake ambao wameolewa ili kuzuia waume zao wasioe kwa siri,” ameongeza
Hilo picha ndiyo laana yako utaenda nalo kila mahali kenge weweVita ya mashoga aliishia wapi vile maana naona bado wapo wapo tuView attachment 1180128
Hata sisimizi hujiona kwenye bonge la msitu awapo kwenye mguu wenye nyweleKuna hoja kubwa sana
Watoto watauawa 😂 😂 😂Tusubirie tuone je atalitekelezaje? Vipi kuhusu wanaume waliozaa nje ya ndoa zao?
Hivi haka kamchezo ulijifunzia wapi?Hilo picha ndiyo laana yako utaenda nalo kila mahali kenge wewe
Shoga katika ubora wakoHivi haka kamchezo ulijifunzia wapi? View attachment 1180342
wewe acha kutelekeza mimba,watoto utaona mafanikio yake.hivi dar nzima kaona hilo ndio tatizo ??
Ukubwa dawaMimi nitoke nje ya mada kidogo.
Leo nimeiangalia sura (macho) ya Paulo Makonda katika picha. Hakika nilichogundua naomba kila MTU aache chuki au ushabiki macho ya Makonda yatasema yote.
Huyu jamaa ni muuaji au amekwisha UA MTU au kushuhudia MTU anauwawa. Hilo nina hakika nalo.
cc; Mshana Jr
Comments reserved naishia kwakusema ''Mbombo ngafu''Mkuu wa mkoa wa Dares salaam amepania kuanzisha kanzi data ya ndoa zote ndani ya mkoa ili kuwanusuru wanawake wanaotapeliwa kimapenzi na kudanganywa kwamba wataolewa na kuishia kutumika tu bila ndoa.
My take .
Hii idea inaweza kuwa mwiba mchungu mitaa ya ufipa na watakuja kupinga sana kwa sababu ya mwenyekiti wao mpenda totozi( fly to KIA baby)
=====
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania, Paul Makonda amesema kuna mpango wa kuanzisha kanzi data ya ndoa zote zilizopo kwenye mkoa wake ili kupunguza utapeli wanaofanyiwa wanawake kwa kudanganywa kuolewa.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania, Paul Makonda amesema kuna mpango wa kuanzisha kanzi data ya ndoa zote zilizopo kwenye mkoa wake ili kupunguza utapeli wanaofanyiwa wanawake kwa kudanganywa kuolewa.
Kanzidata hiyo itahusisha usajili wa ndoa zote ili wanaume waliooa waweze kubainika na kuwanusuru wanawake wasitapeliwe na kuumizwa mioyo kwa kutegemea ndoa.
Makonda amesema pamoja na kanzidata hiyo atatumia mkutano wa SADC kupata uzoefu kutoka kwa nchi nyingine kufahamu namna gani wanakabiliana na utapeli wa aina hiyo.
Mkuu huyo wa mkoa amesema kumekuwepo na malalamiko mengi ya wanawake kuumizwa hivyo wakati umefika wa kuanza kushughulikia.
“Tutaanza kuangalia na kupata uzoefu kwa wenzetu wa SADC ambao kama haya wanashughulikiaje na mkutano ukiisha tutajadiliana kama mkoa tunawezeshaje usajili huo,” amesema
“Kanzidata hii itawasaidia wanawake wasitapeliwe, mtu akitaka kukuoa utaenda mtandaoni na kuangalia taarifa zake, utabaini kama ameoa au la na vilevile itawasaidia hata wanawake ambao wameolewa ili kuzuia waume zao wasioe kwa siri,” ameongeza
Aah mtoto etwege katika ubora wakoShoga katika ubora wako
Tena huo muhuri unaweza kuwa unaonyesha jina la mkeo na namba yake ya simu.This time atawapiga muhuri usoni ili kuweza kuwabaini wale waliooa.
Pengine itakuwepo sheria kwamba kila mwanandoa lazima avae Pete ya ndoa asipovaa kifungo kitamuhusu.
Ama.pengine itakuwepo sheria ya kwamba kila nyumba iwe na cheti Cha ndoa Cha wanaoishi humo na wale wa uchumba sugu Basi adhabu itawahusu
Ama pengine itakuwepo sheria kwamba Ni marufuku kwenda gesti na mwanamke asiyekuwa mkeo (nafikiria akifuata tamaduni za nchi za kiarabu ataweza kunusuru uchepukaji katika ndoa)
Tusubirie tuone je atalitekelezaje? Vipi kuhusu wanaume waliozaa nje ya ndoa zao?