Makonda na Makamba nini kinaendelea?

Hivi huyu Zuzu amepewa nafasi ya kuongea pale Karimjee? Au nafasi yake imefutwa kwenye ratiba?
alafu nilimsikia Kusaga akifanya utambuzi maalum tena (special recognition) kwa bashite tena hapo ni baada ya kuwa ametambua uwepo wa JPM, Waziri Mkuu, Jk...nikajiuliza hizo salam maalum kwa Bashite hazina ujumbe uliojificha kwel?!

u maalum huo kwa bashite ktk tukio lile ni nini hasa aliomaanisha kusaga?!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
alafu nilimsikia Kusaga akifanya utambuzi maalum tena (special recognition) kwa bashite tena hapo ni baada ya kuwa ametambua uwepo wa JPM, Waziri Mkuu, Jk...nikajiuliza hizo salam maalum kwa Bashite hazina ujumbe uliojificha kwel?!

u maalum huo kwa bashite ktk tukio lile ni nini hasa aliomaanisha kusaga?!.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mission imekamilika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
alafu nilimsikia Kusaga akifanya utambuzi maalum tena (special recognition) kwa bashite tena hapo ni baada ya kuwa ametambua uwepo wa JPM, Waziri Mkuu, Jk...nikajiuliza hizo salam maalum kwa Bashite hazina ujumbe uliojificha kwel?!

u maalum huo kwa bashite ktk tukio lile ni nini hasa aliomaanisha kusaga?!.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pale mkuu ni saikoloji imetumika... Maana kiitifaki alitakiwa awepo kwenye mtiririko wa utambuzi.... Lakini yy baada ya utambuzi akajifanya Kama kamsahau then akampa special recognition kwake.. Kwa sababu anazozijua yy... Pia kwenye speech ya January makamba kammaliza Kabisa jamaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom