johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,891
- 141,824
Sherehe hizo zimefanyika Mwenge jijini Dsm na kuhudhuriwa na viongozi wakuu wa jeshi.
Source: ITV habari!
Source: ITV habari!
Mafta unayoyasemea ni ky jeli si ndio?Kamuwakilisha amiri jeshi mkuu ama kama RC tu?!
Kitwanga alitumbuliwa eti kisa kaenda bungeni akiwa masangasi, ila bwana Makonde anakula neema za mteuaji tu, hakika ni mpakwa mafuta!!
Kwa taarifa na ufahamLeo ameonekana RC wa Dsm Mhe. Paul Makonda akiwa pamoja na Mkuu wa Majeshi-CDF. Nauliza je CDF alimpigia salute RC? Mliokuwepo mtuambie walisalimiaje maana CDF anapotakiwa kuwepo inabidi awepo aliye mkuu zaidi ya RC mfano PM. Tusaidiane kwa hili...
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo alikuwepo kama hayupo kabisa nilimwona yaani hana raha kabisa yaani basi tuuSherehe hizo zimefanyika Mwenge jijini Dsm na kuhudhuriwa na viongozi wakuu wa jeshi. Source l ITV habari!
Aina gani ya mafuta? Pasco msaada tafadhali.Mpakwa mafuta anatembea katika mafuta aliyopakwa...