Alisema yeye ndo mbabe wa vitaHiki cheo kimeanza kumfanya avimbewe haraka, muda sio mrefu ataropoka maneno ambayo atakuwa kituko ngoja tusubiri
Mwisho wake huyu jamaa utakuwa mchafu na atajutia muda alio upoteza kwa kutafuta sifaAisee! Hiyo mipaka ya kazi imejulikana mwaka huu? Na kama ipo wazi, ana haja gani ya kuifafanua, si afanye tu kazi zilizo ndani ya ukuu wake wa mkoa?
Mkuu wa mkoa wa Dar Paul Makonda ameelezea mipaka yake ya kazi kati yake na meya wa jiji kwa kuwa watu wengi huwa wanachanganya
Amesema meya wa jiji ni amechaguliwa na madiwani kuwa mwenyekiti wao, kama ilivyo kwa spika wa bunge alivyochaguliwa na wabunge kuwa mwenyekiti wao na kazi yao ni kuwa mwenyekiti wa kikao
Ameongezea kuwa kiutaratibu meya anaingia manispaa mara mbili kwa wiki na inapendekezwa akatafuta shughuli nyingine maana kazi yake sio kazi ya utawala
Mkuu wa mkoa wa Dar Paul Makonda ameelezea mipaka yake ya kazi kati yake na meya wa jiji kwa kuwa watu wengi huwa wanachanganya
Amesema meya wa jiji ni amechaguliwa na madiwani kuwa mwenyekiti wao, kama ilivyo kwa spika wa bunge alivyochaguliwa na wabunge kuwa mwenyekiti wao na kazi yao ni kuwa mwenyekiti wa kikao
Ameongezea kuwa kiutaratibu meya anaingia manispaa mara mbili kwa wiki na inapendekezwa akatafuta shughuli nyingine maana kazi yake sio kazi ya utawala
Na baada ya hapo ataporomoka kimoja na kurudi makoroboiHuyu jamaa maisha yake kwenye uRC ni mafupi sana
Nakumbuka siku madereva wa ubungo walivyo mshushia kipigo hadi akajifichq miguuni mwa ocdNi wazi sasa kuwa John alimuweka hapo avuruge mambo.
RC sio mjumbe wa baraza la madiwani hivyo usimamizi wa nini kimeamuliwa kuhusu fedha za maendeleo za halmashauri sio wake. Asitake kupotosha na kujivika mamlaka yasiyo yake na kuleta migogoro.
Je dunian kote iko hivyo, pia ni kwa nchi zote au Dar tu? Na je Dar ni specila kuliko majiji yote duniani kis RC ana maono yake?Mameya wa UKAWA mmesikia.Hiyo sio ajira kuwa kutwa mko maofisini manispaa au jiji.Kafungueni mashamba hata ya mchicha.Meya ni mwenyekiti wa vikao sio ofisa wa mwajiriwa wa halmashauri au jiji.
Sioni size yake labda katibu kataatahamishwa hapa Dsm tu. Dsm sio size yako.
Mlibana mwisho mkawachia sasa tulieni sindano ya ukawa iwangie vemaMameya wa UKAWA mmesikia.Hiyo sio ajira kuwa kutwa mko maofisini manispaa au jiji.Kafungueni mashamba hata ya mchicha.Meya ni mwenyekiti wa vikao sio ofisa wa mwajiriwa wa halmashauri au jiji.
YUPO HAPO STRATEGICALLYMimi nahisi kuhisi vibaya sina uhakika huyu jamaa kudumu hapo alipo maana naona hajui alifanyalo
ndo tatizo la viongozi wengi wanawaza vyama ,kuliko masilah ya taifaHajui kama uongozi ni team work ili kuleta maendeleo ya haraka
100% ameshashindwaMimi nahisi kuhisi vibaya sina uhakika huyu jamaa kudumu hapo alipo maana naona hajui alifanyalo
Kwahio tumsaidieje?
Hiyo ni ndotoHuyu jamaa maisha yake kwenye uRC ni mafupi sana