BEDUI Jr
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 2,041
- 2,836
Baada ya kuongezwa kwa wilaya ya Ubungo wafanya kazi wa office ya Ardhi ya manispaa ya kinondoni iliyopo Mwananyamara Hospitality sasa inawafanyakazi wachache baadhi ya idara haina wafanyakazi kabisa pale wakuu wote wameanishwa na hawajaletwa wengine mpakaleo hii imepelekea kukosa huduma ktk office hile. Mm moja ya muhanga nimezungushwa sasa huu mwezi mmoja sasa kitu chenyewe kudogo tu, nikienda bossi hayupo mpaka aje bossi wa wilayani, mala mafaili yamekwenda kusainiwa kwa bossi wa wilayani ss hatujaletewa bossi, yule wawilayani nae mudamwingi yupo site yaani mpaka michosho hii kelo tumechoka kusumbuliwa kama vp fungeni office tujue moja