Dr. Chapa Kiuno
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 443
- 18
Wadau, leo wakati nakuja mjini asubuhi kulitokea kitendo ambacho kilishangaza na kustua abiria wengi katika daladala tuliyopanda... Hivyi unafahamu kuna style imeibuka kwa makonda kubeba shilingi kumi kumi esp asubuhi n usipokuwa aware unapotoa 250 n esp usipoangalia, konda hujifanya kukuonesha shs 10 plus ile 50 yako n kudai hukumpa 250, insteady 60/=????
Kwa bahati nzuri jamaa nahisi alikuwa makini leo ambaye alifanyiwa kitendo kile na kudai c kweli kwa sababu alipotoka kwake alikagua pesa alizobeba na hiyo shs 10 haikuwa yake. ilikuwa mzozo mkubwa though fainali konda ilibidi abwage manyanga.... Lakini, kwa style hii tutafika???
Kwa bahati nzuri jamaa nahisi alikuwa makini leo ambaye alifanyiwa kitendo kile na kudai c kweli kwa sababu alipotoka kwake alikagua pesa alizobeba na hiyo shs 10 haikuwa yake. ilikuwa mzozo mkubwa though fainali konda ilibidi abwage manyanga.... Lakini, kwa style hii tutafika???