Wanatengeneza ground ya kufutiwa deni lao na TRAStar tv ndo media pekee inayosaliti azimio la kumfungia bashite hii habari ilipewa coverage kubwa saaaana na star tv hadi wameandaa documentary inayoruka Mara Kwa Mara
Polisi kupewa baiskeli hahah ila ni hatua.
Yote kutafuta kickSwala la kupeleka magari gereji linahitaji kufanyiwa Sherehe???
Tanzania sijui nani katuloga.
With all of his efforts but the Media ban (on Bashite) is still existing..
Hii habari haijatoka popote pale, itakuwa labda ni hapa na kwenye page ya Le Mpumbuuuzzz.
Duu kweli kukataliwa kubaya... Pole sana Bashite.
cocochanel W. J. Malecela
...na bado hawajaamkaKumbe mod now huwa wanalala skutegemea kama huu uzi ungesurvive