ONDIECK OTOYO
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 254
- 44
hakuna jambo hatari sana katika kuondoa hamani kama ulevi wa madaraka na uroho wa madaraka katika hali ya sasa hivi uvumilivu wa kisiasa imekwisha imebaki ni dalili ya amani kuondoka katika taifa hili wamezoea kuwapiga wastaaf mwanzo walimpiga rais mwinyi kofi leo wamempiga warioba hivi vitendo haviwezi kukubalika mbele ya macho ya haki na usawa katika taifa