Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,296
- 217,297
Ikiwa kama watanzania wanaweza kudanganywa na mtu mmoja kama mazombie na bado wakakaa kimya , basi hii itakuwa bahati mbaya sana .
Paulo Makonda ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alitoa amri kwa wenye nyumba kuwapunguzia kodi wapangaji wao kutokana na ugumu wa maisha uliosababishwa na janga la corona , kwa bahati mbaya hakuna hata mmoja aliyemsikiliza , si chama chake cha CCM chenye wapangaji kibao kwenye majengo yake wala wenye nyumba waliomsikiliza , Kwa kifupi ni kwamba alipuuzwa , hii ni kwa sababu lengo la porojo zake hizo ilikuwa kujitafutia umaarufu wa kisiasa .
Kama hiyo haitoshi amewafuata tena " mazombie " na porojo za punguzo la 80% kwa maduka ya nguo ! , sasa hoja yangu ni kwamba kabla ya huu upuuzi mwingine atuambie lile punguzo la kodi za nyumba liishia wapi ?
Watanzania siyo wajinga sana - Magufuli .
Paulo Makonda ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alitoa amri kwa wenye nyumba kuwapunguzia kodi wapangaji wao kutokana na ugumu wa maisha uliosababishwa na janga la corona , kwa bahati mbaya hakuna hata mmoja aliyemsikiliza , si chama chake cha CCM chenye wapangaji kibao kwenye majengo yake wala wenye nyumba waliomsikiliza , Kwa kifupi ni kwamba alipuuzwa , hii ni kwa sababu lengo la porojo zake hizo ilikuwa kujitafutia umaarufu wa kisiasa .
Kama hiyo haitoshi amewafuata tena " mazombie " na porojo za punguzo la 80% kwa maduka ya nguo ! , sasa hoja yangu ni kwamba kabla ya huu upuuzi mwingine atuambie lile punguzo la kodi za nyumba liishia wapi ?
Watanzania siyo wajinga sana - Magufuli .