Makonda, Jitokeze hadharani utuombe radhi wanasheria

Ila jamaa kauli zake...????? Hakika ajifunze kuchuja maneno ama habari zake kabla ya kuzitoa kwa umma. Afanye maandalizi, mkuu wa wilaya hana washauri?!?
 
Kusaidiana nao ndiyo kuwaajiri?

Kasema nimewaajiri nawalipa 75% unaonekana hujui contract of employment. Ukishakuwa na mtu anakufanyia kazi kwa makubaliano ya kiwango mahsusi cha fedha ni ajira. Hata matamshi yake mdomoni kasema"' nimewaajiri' wapo ofisini kwangu kwa ajili-----------sipendi uje na ubishi usio na maana kama tupo facebook . Saizi angali clouds utamuona huyo mtangazaji aliekuwa nae yupo na mpoto mrisho
 
Petro E. Mselewa

Mr. Mselewa, na wewe sheria umejifunzia wapi? Kama mwanasheria unawezaje kutoa statement kama uliyotoa bila kuwa na facts? Umeshaona terms za contract ya Mh. Makonda na hao wanasheria? Kwa sababu wewe una assumption kuwa wanasheria wanalipwa hela nyingi sana umeshindwa kujua kuwa kibarua chochote ni makubaliano kati ya mwajiri na mwajiriwa. Hata mwanafunzi wa mwaka wa kwanza anajua hicho. Nikiwa na kesi nitajitahidi kukwepa wanasheria kama wewe.
 
Last edited by a moderator:
Nilifungua huu uzi kwa kasi nikitaka kujua Makonda ameongea nn tena. Mtoa mada sioni kama hoja yako ina mashiko sana, nafahamu fika ada za wanasheria ni kubwa. Na pia nafahamu inawezekana kabisa mwanasheria akatoa huduma kwa bei pungufu kutokana na utu/(bonafide) au harakati zake (hakuna bei maalum iliyopangwa). Katika mambo ya kukomalia kwenye hii nchi (maana ni mengi aisee) sioni sababu ya kumkomalia Makonda aombe radhi.
 
Kwani wanasheria hawawezi kufanya kazi kwa kujitolea na kulipwa mshahara mdogo?

Au bongo hamna Pro Bono?
Huyu mwansheria wa JF kakurupuka.as long as huyo DC hajatoa specifics huwezi kum-pin down based on vague statements.hata hiyo kada ya sharia wana madaraka tofauti.sidhani kama paralegals wanalipwa sawa na advocates,n.k,au fresh graduates sidhani kama wana malipi sawa na wakongwe.ingehitaji ujue details za kutosha kabla ya kuna na hii conclusion kuwa taaluna imedhalilishwa.
 
mheshimiwa mtoa mada umekaza msuli sana kwa jambo jepesi,wapo pia wanasheria wanaotoa msaada wa kisheria bure kwa wanajamii au baadhi ya makundi ktk jamii,yawezekana hao wamejitolea kulipwa kidogo tu na dc wa kinondoni!
 
Huna hoja toka hapaaaa ww ndio unapanga viwango vya kulipwa wanasheria? Au unaujua mshahara wake? Malipo si makubaliano kama wamekubali kulipwa kiasi fulani cha fedha kidogo na nyingine zikiwa ni mchango wao kusaidia tatizo la ardhi wewe wajuaje? Acheni kumchukia mtu mtafikiri kawavunjia ndoa zenu.
 
Huyu mwansheria wa JF kakurupuka.as long as huyo DC hajatoa specifics huwezi kum-pin down based on vague statements.hata hiyo kada ya sharia wana madaraka tofauti.sidhani kama paralegals wanalipwa sawa na advocates,n.k,au fresh graduates sidhani kama wana malipi sawa na wakongwe.ingehitaji ujue details za kutosha kabla ya kuna na hii conclusion kuwa taaluna imedhalilishwa.

Nimemuuliza hajawahi kusikia "Pro bono" ?

https://en.m.wikipedia.org/wiki/Pro_bono
 
Mr. Mselewa, na wewe sheria umejifunzia wapi? Kama mwanasheria unawezaje kutoa statement kama uliyotoa bila kuwa na facts? Umeshaona terms za contract ya Mh. Makonda na hao wanasheria? Kwa sababu wewe una assumption kuwa wanasheria wanalipwa hela nyingi sana umeshindwa kujua kuwa kibarua chochote ni makubaliano kati ya mwajiri na mwajiriwa. Hata mwanafunzi wa mwaka wa kwanza anajua hicho. Nikiwa na kesi nitajitahidi kukwepa wanasheria kama wewe.
Mkuu umeijibu kisheria zaidi na imekaa poa. Mtoa mada pamoja na kujua sheria naona ame construe kuajiri kama kumuajiri mtu kama vile ambavyo unaajiriwa na kwenda ofisini kila siku kwa ujira wa mwezi. Hapa kuajiriwa kwa mwanasheria kuna maana ya ku engage. Angeangalia zile test za contract for service na contract of service zingemsaidia sana katika hili badala ya kusema kwamba watalipwa mshahara kidogo bila kujua aina ya mkataba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom