Makonda jeshi la polisi na TBC

cai

JF-Expert Member
Jan 25, 2012
1,351
1,326
Kwa kinachoendelea muda huu kwenye television ya taifa TBC no cha kupongezwa na kila mzalendo was nchi hii, huku binge la bajeti likiendelea gizani wao wako mubashara wanamwonyesha makonda akipokea magari machakavu kabisa kutoka jeshi la polisi, sasa Mimi najiuliza hapa hivi Hawa TBC wameona haya ndio maslahi ya uma tunayoaminishwa kuliko wale wanaoamua kule Dodoma tukamuliwe vipi, hapa nawasilkana na mtoa Huduma waifute TBC kwenye king'amuzi changu nisije siku nyingine wakaniharibia siku
 
Kwa kinachoendelea muda huu kwenye television ya taifa TBC no cha kupongezwa na kila mzalendo was nchi hii, huku binge la bajeti likiendelea gizani wao wako mubashara wanamwonyesha makonda akipokea magari machakavu kabisa kutoka jeshi la polisi, sasa Mimi najiuliza hapa hivi Hawa TBC wameona haya ndio maslahi ya uma tunayoaminishwa kuliko wale wanaoamua kule Dodoma tukamuliwe vipi, hapa nawasilkana na mtoa Huduma waifute TBC kwenye king'amuzi changu nisije siku nyingine wakaniharibia siku
Kwani umelazimishwa kuangalia TBC?
 
Kwa kinachoendelea muda huu kwenye television ya taifa TBC no cha kupongezwa na kila mzalendo was nchi hii, huku binge la bajeti likiendelea gizani wao wako mubashara wanamwonyesha makonda akipokea magari machakavu kabisa kutoka jeshi la polisi, sasa Mimi najiuliza hapa hivi Hawa TBC wameona haya ndio maslahi ya uma tunayoaminishwa kuliko wale wanaoamua kule Dodoma tukamuliwe vipi, hapa nawasilkana na mtoa Huduma waifute TBC kwenye king'amuzi changu nisije siku nyingine wakaniharibia siku
TBC wanamuheshimu bashite kuliko bunge na watanzania, ni tv pekee iliyothibitishwa kuwa na watangazaji waongo na walisimamishwa kazi kwa uongo wao
 
Kajinyonge nyumbu wewe nani kakulazimisha utazame tbc chuki zitakuua

Na saiv tbc, abood fm, sahara media, uhuru fm na station zote za mwanza zinamuunga mkono sasa jinyongen wauuza unga nyie
Anadeka balaa!!
Screenshot_20170606-213928.jpg
 
Una shida katika akili yako, chukua hatua mapema
Kajinyonge nyumbu wewe nani kakulazimisha utazame tbc chuki zitakuua

Na saiv tbc, abood fm, sahara media, uhuru fm na station zote za mwanza zinamuunga mkono sasa jinyongen wauuza unga nyie
 
Kwa kinachoendelea muda huu kwenye television ya taifa TBC no cha kupongezwa na kila mzalendo was nchi hii, huku binge la bajeti likiendelea gizani wao wako mubashara wanamwonyesha makonda akipokea magari machakavu kabisa kutoka jeshi la polisi, sasa Mimi najiuliza hapa hivi Hawa TBC wameona haya ndio maslahi ya uma tunayoaminishwa kuliko wale wanaoamua kule Dodoma tukamuliwe vipi, hapa nawasilkana na mtoa Huduma waifute TBC kwenye king'amuzi changu nisije siku nyingine wakaniharibia siku
Edit kwanza Uzi wako maana una makosa ya kimaandishi,jitahidi kupunguza jazba siku nyingine ili unachokiandika kilete maana zaidi
 
Kajinyonge nyumbu wewe nani kakulazimisha utazame tbc chuki zitakuua

Na saiv tbc, abood fm, sahara media, uhuru fm na station zote za mwanza zinamuunga mkono sasa jinyongen wauuza unga nyie


Haya kajitawaze ukachukue elf 7 zako chap..
 
Kwa kinachoendelea muda huu kwenye television ya taifa TBC no cha kupongezwa na kila mzalendo was nchi hii, huku binge la bajeti likiendelea gizani wao wako mubashara wanamwonyesha makonda akipokea magari machakavu kabisa kutoka jeshi la polisi, sasa Mimi najiuliza hapa hivi Hawa TBC wameona haya ndio maslahi ya uma tunayoaminishwa kuliko wale wanaoamua kule Dodoma tukamuliwe vipi, hapa nawasilkana na mtoa Huduma waifute TBC kwenye king'amuzi changu nisije siku nyingine wakaniharibia siku


Najuta kuisoma post imeniharibia siku kabisa

Wewe ni mwenzangu ambaye sitamani kabisa TBC iwe kwenye list ya chanel zangu...

Nimewahi kumwambia mtu sitaki sura ya Baba JESKA kwenye TV yangu ukimwona badilisha haraka
 
Back
Top Bottom