MalcolM XII
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,235
- 14,199
Yaani kilichotokea jana kwenye baadhi ya sehemu za starehe nilizopitia kwenye maeneo ya Tabata ni kufuru nusu na robo..
Kwa ule mkusanyiko wa watu, bila ya shaka kama mtu hajapata Corona maeneo yale basi huu ugonjwa utakuwa umeisha!
Huwezi kuamini namna watu walivyojaa..
Kuna muda naenda toilet, pale nje nakuta wakuu na mademu zao wanakula vitu, kwelii!!??
MHH! YA JANA NI KUFURU KWA KWELI!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa ule mkusanyiko wa watu, bila ya shaka kama mtu hajapata Corona maeneo yale basi huu ugonjwa utakuwa umeisha!
Huwezi kuamini namna watu walivyojaa..
Kuna muda naenda toilet, pale nje nakuta wakuu na mademu zao wanakula vitu, kwelii!!??
MHH! YA JANA NI KUFURU KWA KWELI!
Sent using Jamii Forums mobile app