Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,316
- 24,181
At long last, kupitia Mkuu wa Mkoa Paul Makonda , barabara za Mbezi Beach, Kunduchi na Tegeta zimeanza kushughulikiwa na Serikali.
Wananchi wa sehemu hizo tulikuwa tunasononeka sana kwa kupitwa kila Awamu tokea enzi ya Mkapa.
Tuliona barabara nyingi za Wilaya nyingine zikitengenezwa na kupitika isipokuwa huku Kawe.
Makonda ameonyesha njia .
Watendaji wengi walikuwa wskilikwepa jimbo hili, ati la upinzani.
Kisingizio cha kipuuzi sana maana hata sisi wapenzi wa chama tawala tupo huku, tena kwa wingi.
Ombi langu kwa Comrade Makonda: barabara ya Makonde , Mbezi Juu hadi Baraza la Mitihani na kuunganisha na barabara ya Goba, naomba nayo iingie mpango wa uboreshaji miundo mbinu Mbezi Beach.
Makonda umeweza, matokeo yake utayaona kuongezeka kwa wafuasi wa JPM ,come 2020.
Wananchi wa sehemu hizo tulikuwa tunasononeka sana kwa kupitwa kila Awamu tokea enzi ya Mkapa.
Tuliona barabara nyingi za Wilaya nyingine zikitengenezwa na kupitika isipokuwa huku Kawe.
Makonda ameonyesha njia .
Watendaji wengi walikuwa wskilikwepa jimbo hili, ati la upinzani.
Kisingizio cha kipuuzi sana maana hata sisi wapenzi wa chama tawala tupo huku, tena kwa wingi.
Ombi langu kwa Comrade Makonda: barabara ya Makonde , Mbezi Juu hadi Baraza la Mitihani na kuunganisha na barabara ya Goba, naomba nayo iingie mpango wa uboreshaji miundo mbinu Mbezi Beach.
Makonda umeweza, matokeo yake utayaona kuongezeka kwa wafuasi wa JPM ,come 2020.