yomboo
JF-Expert Member
- May 9, 2015
- 6,226
- 4,894
Jamaa takataka Sana huyoNani kapukutika si wamekufa watu wachache tu ?yeye mwenyewe alikuwa anaushangaa ugonjwa ambao unaenezwa na "vailas" ambao dawa yake ni kunawa na sabuni pamoja na maji tiririka
Sent using Jamii Forums mobile app