Makonda awaponza Star Tv na Sahara Media mbele ya TEF

Ngoja nikuulize swali: Je, unakubaliana na kitendo ambacho alikifanya Makonda pale Clouds TV?! Unaamini alikuwa sahihi kabisa pale na hakuna kosa lolote alilofanya?!
Mkuu Chige, Daudi Albert Bashite pale ni kama nyumbani kwake, anaingia saa yoyote bila kupiga hodi au kutoa taarifa. Wale makirikiri ni walinzi wake kila mahali huenda nao isipokuwa msalani na maliwatoni!. Tukio lilikuwa blown over proportion!.

Media zetu are too weak and too poor to say no to DAB!. Hili nililisema hapa
Media Kususia Habari za Fulani: Jee Tanzania Tuna Independent Media Yenye Jeuri Hiyo?.

Hivyo kuwalaumu Star TV ni kuwaonea bure!.
It's high time TEW watoe rules of engagement with their rules of ethics kuwa hiki kikifanyika, ndipo media isusie, na sio kwa hii double standards za cherry picking.

Jumatatu asubuhi macho na masikio yetu yote ni Star TV, tunasubiri kwa hamu kumsikia Daudi Albert Bashite wa Koromije akiwa live mubushara au kukiri au kukanusha tuhuma zote zinazomkabili.

Mimi nitaangalia na nawashauri na wengine tuangalie na kama kuna fursa za kupiga simu hata mimi nitapiga kuulizia baada ya kubainika rasmi jina lake halisi ni Daudi Bashite, kwa nini mpaka sasa bado anatumia jina la wizi la Paul Christian?.

Paskali
 
Mkuu Chige, Daudi Albert Bashite pale ni kama nyumbani kwake, anaingia saa yoyote bila kupiga hodi au kutoa taarifa. Wale makirikiri ni walinzi wake kila mahali huenda nao isipokuwa msalani na maliwatoni!. Tukio lilikuwa blown over proportion!.

Media zetu are too weak and too poor to say no to DAB!. Hili nililisema hapa
Media Kususia Habari za Fulani: Jee Tanzania Tuna Independent Media Yenye Jeuri Hiyo?.

Hivyo kuwalaumu Star TV ni kuwaonea bure!.
It's high time TEW watoe rules of engagement with their rules of ethics kuwa hiki kikifanyika, ndipo media isusie, na sio kwa hii double standards za cherry picking.

Jumatatu asubuhi macho na masikio yetu yote ni Star TV, tunasubiri kwa hamu kumsikia Daudi Albert Bashite wa Koromije akiwa live mubushara au kukiri au kukanusha tuhuma zote zinazomkabili.

Mimi nitaangalia na nawashauri na wengine tuangalie na kama kuna fursa za kupiga simu hata mimi nitapiga kuulizia baada ya kubainika rasmi jina lake halisi ni Daudi Bashite, kwa nini mpaka sasa bado anatumia jina la wizi la Paul Christian?.

Paskali
Mkuu Paskali, kuwalaumu StarTV ni sawa. Makubaliano, hata kama yalikuwa ni ya "kijinga" kwa mtazamo wako, lakini kama Startv waliyaridhia kama wanachama wa TEF/MOAT na clubs wakati ule, wanachokifanya ni usaliti unaostahili kushughulikiwa kwa kiwango cha kutoa fundisho kwa wengine!
 
Mkuu Paskali, kuwalaumu StarTV ni sawa. Makubaliano, hata kama yalikuwa ni ya "kijinga" kwa mtazamo wako, lakini kama Startv waliyaridhia kama wanachama wa TEF/MOAT na clubs wakati ule, wanachokifanya ni usaliti unaostahili kushughulikiwa kwa kiwango cha kutoa fundisho kwa wengine!
Mkuu Chabusalu, kwanza sijasema katazo ni la kijinga, its just not practical! .

Sii wengi wanaojua kuwa TEF na MOAT ni taasisi binafsi kama makampuni binafsi na vimesajiliwa Brela, na hazina mandate kwa sababu vyombo hivi sio statutory media organizations na bonafide, representatives za waandishi, hivyo uamuzi wake sio binding. Chombo statutory kama Chama cha Waandishi wa Habari Tanzania ni TAJA, Tanzania Journalist Association. Taasisi ya Media inayotambulika rasmi ni Baraza la Habari Tanzania, Media Council, MCT ambalo kwa sheria mpya linakufa na sio TEF sio MOAT!. Hivi ni vikundi tuu vya watu.

Paskali
 
Wakati mnawafungia watu mnasahau kuelewa kwamba sie ni watu na tuna haki ya kuhabarishwa. Kama hamuwezi kutekeleza hii haki yetu mnabaki kufanya mini sasa, akheri muache kufanya kazi ya habari ili wanaoweza kuifanya watusaidie kutuhabarisha. Nawapongeza sana Star Tv
 
kumbe wanatangaza kwa kutumia maspika!!!
b6f935267691cf31dbfd21d90fc22a81.jpg
 
Lengo la Media ni kujenga na sio kubomoa, kama Bashite amekosea, anastahili kusaidiwa ili ajirudi na sio kususwa.
Ushauri wangu kwa media zote ambazo zoko resiponsible kwa jamii, msisusie habari za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, ili pia kwa vile media tunatakiwa kuwa wakweli daima, then hata Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam aandikwe kwa ukweli kabisa, ikiwemo kutumiwa rasmi kwa majina yake halisi ya Daudi Albert Bashite, na sio yale majina ya wizi ya Paul Christian.
Insane Anahitaji Huruma, Kusaidiwa. Sio Kulaumiwa, Kulaaniwa na ...
Media Kususia Habari za Fulani: Jee Tanzania Tuna Independent ...

Paskali

Tunajua awamu hii hauipendiiiiii, tho unajitahidi kujificha ila tunakusoma unayoandika na kukujua hata pale unapofikiri ujanja wa kuweka zig zag...hatutakugundua tunakugundua

Hivi RC nae kakukosea nini!? Umetoa hukumu juu yake siku nyingi zimepita naona hapa ni umejionyesha zaidi kuwa upo pamoja na hao hao...vibahasha... mjisikitikie huku hamlali mnamuwaza yeye n.k. eeeeh

Awamu ya tano hiii

Makonda oyeeeeeee

Magufuli oyeeeeeeee
 
Haya sasa ngoja tuone chombo chahabar nakenyewe kitazuiwaje kurusha habar nawakat kinamitambo yake nakila siku kinarusha habar
 
Mkuu Chige, Daudi Albert Bashite pale ni kama nyumbani kwake, anaingia saa yoyote bila kupiga hodi au kutoa taarifa. Wale makirikiri ni walinzi wake kila mahali huenda nao isipokuwa msalani na maliwatoni!. Tukio lilikuwa blown over proportion!.

Media zetu are too weak and too poor to say no to DAB!. Hili nililisema hapa
Media Kususia Habari za Fulani: Jee Tanzania Tuna Independent Media Yenye Jeuri Hiyo?.

Hivyo kuwalaumu Star TV ni kuwaonea bure!.
It's high time TEW watoe rules of engagement with their rules of ethics kuwa hiki kikifanyika, ndipo media isusie, na sio kwa hii double standards za cherry picking.

Jumatatu asubuhi macho na masikio yetu yote ni Star TV, tunasubiri kwa hamu kumsikia Daudi Albert Bashite wa Koromije akiwa live mubushara au kukiri au kukanusha tuhuma zote zinazomkabili.

Mimi nitaangalia na nawashauri na wengine tuangalie na kama kuna fursa za kupiga simu hata mimi nitapiga kuulizia baada ya kubainika rasmi jina lake halisi ni Daudi Bashite, kwa nini mpaka sasa bado anatumia jina la wizi la Paul Christian?.

Paskali
Uliyosema yote kuhusu Bashite na Clouds hapo kabla ni ukweli tupu!!! Hata hivyo, twende hatua kwa hatua na unijibu maswali yangu kama ulivyofanay kwa hilo hapo juu:

Mosi, kwavile tu alikuwa na ukaribu huo na Clouds, unadhani alikuwa sahihi kutengeneza story ya Gwajima kwa manufaa yake binafsi?! Do you really believe it?

Pili, unaamini alikuwa sahihi kulazimisha kile kipindi kirushwe tofauti na wenyewe ambao hawakuwa tayari kwavile stori ilikuwa haija-balance!!!

TIP: Ushahidi wa kimazingira unaonesha ni kweli Bashite alishinikiza hiyo habari na ndio maana, baada ya kushindikana kurushwa, mtu wa mwanzo kuisambaza ile habari mitandaoni alikuwa ni Le Mutuz.

Swali la tatu: Wewe ukiwa kama Mwanahabari; hivi ni kweli unaamini hatua Bashite kutoka na ile content na kwenda kuisambaza informally ilikuwa ni hatua sahihi inayoweza kuhalalishwa kutokana na ukaribu wake na Clouds?!

ANGALIZO: Hata katika mazingira ya mahusiano ya kawaida ya kati ya mwanadamu mmoja na mwingine; hutokea wakati mwingine watu mkawa mmeshibana kama ilivyokuwa kwa Clouds na Bashite! Na katika hali hiyo mmoja anaweza kujikuta anafanya jambo moja dhidi ya mwenzake huku akiamini anachofanya ni jambo la kawaida tu!!

Pamoja na kudhani hilo ni jambo la kawaida, mwenzako anajikuta amekwazika kweli kweli... tena sana! Na bila ya kupepesa macho, anakwambia wazi kwamba this's not right, UMENIKOSEA kwahiyo nitake radhi!!!!

Hivi kwa muungwana bila kujali ni kama kweli amekosea au hapana, hawezi kuomba radhi kwa sababu tu mwenzake amemkwaza?! Hivi mara zote ambazo huwaga tunawaomba radhi wenzetu tunakuwa tumekosea?


Now tell me, hivi unaamini kabisa, from deep inside your heart, pamoja na yote hayo, Bashite hakuwa na kosa hata kidogo?! Nini kimemfanya asiombe radhi kama alivyotakiwa? Au kwavile yeye ni Mkuu wa Mkoa ndo anadhani hawezi kuomba radhi taasisi zingine?!

Turudi kwa hao Star TV unaosema wanaonewa!!

SWALI: Je, unataka kuniambia Sahara Media sio sehemu ya MOAT, TEF na UTPC?!

Kama sio sehemu ya hizo taasisi, usiende swali linalofuata lakini kama ni sehemu ya MOAT, TEF na UTPC; ni kwa namna gani unasema kwamba Star TV wanaonewa?! Labda ukumbushwe azimio la Jukwaa la Wahariri na Club ya Waandishi wa Habari:

Jukwaa.png

Kama Star TV ni sehemu ya hizo taasisi; do you really believe kwamba Star TV wanaonewa?! Au unaweza kunipa mfano mmoja tu wa media yoyote (achana na TBC) ambayo ilishirikiana na Daudi Albert Bashite lakini pamoja na yote hayoTEF na UTPC hawakutoa tamko?! Mfano wako utasaidia kuonesha double standard ya TEF na UTPC... kwamba, kumbe wapo wengine walioshirikiana na Bashite lakini hakuna tamko lolote lililotolewa dhidi yao?

Au kama Star TV na Sahara Media kwa ujumla waliona uamuzi wa TEF & UTPC haukuwa sahihi; kwanini hapo hapo hawakuweka wazi kwamba hawakubaliani na uamuzi huo na hivyo; wao kama wao wataendelea kushirikiana na Bashite?!

Kutoka ndani kabisa ya nafsi yako, hivi ni kweli unaamini kabisa kwamba Star TV katika hili wanaonewa?

Aidha unasema:
t's high time TEW watoe rules of engagement with their rules of ethics kuwa hiki kikifanyika, ndipo media isusie, na sio kwa hii double standards za cherry picking.
Naamini you're smart enough kufahamu nini maana ya double standard!!! Hivi unaweza kuniambia ni double standard ipi iliyofanyika ama dhidi ya Bashite au Star TV?!

Mimi sio mwanahabari lakini hii sio mara yangu ya kwanza kusikia viongozi mbalimbali wakisusiwa hapa nchini!!! Hivi ikiwa wengine walikuwa wanasusiwa huku ukiamini kilichofanyika sasa ni double standard; do I miss something in the real meaning of double standard?!

Btw, inawezekana aliyofanya Bashite yote kwako ni sahihi lakini in the eyes of TEF aliyofanya sio sahihi!!! Kwahiyo ulitaka TEF wasichukue hatua dhidi ya Bashite hadi watakapotoa hizo rules of engagement ingawaje hapo kabla wameshawahi kuchukua hatua kama hizo kwa wengine?!

Frankly speaking, please gimme Class 101: The Meaning, Application and Limitations of the phrase Double Standard.

HITIMISHO: Kwamba wewe utafuatilia kipindi na unawashauri wengine wafanye hivyo wala hauna sababu ya kuhamasisha watu kwa sababu mgogoro ni kati ya Daudi Albert Bashite na vyombo vya habari na key players wao!!! Azimio la TEF na UTPC wala haliwataki wananchi wasishirikiane na Bashite; na isitoshe, wala hawana mamlaka hayo!!! Hata hao members wa TEF na UTPC I bet nao wataangalia kwa sababu, nothing is personal here!!

Hata mimi huenda nikaangalia... na kama atakuwa anaongea mambo ya msingi huenda nikamfuatilia kwa sababu sina mgogoro na Bashite!!! Muhimu ni kama nilivyosema hapo awali kwamba:
Kipindi kinachovuta audience kubwa kwa Star TV and RFA ni pamoja na kipindi cha Kutoka Magazetini!!

Kama ndivyo, endapo Star TV wataendelea na programu yao na Daudi Albert Bashite, basi wamiliki wa vyombo vya habari wapige marufuku magazeti yao kusomwa na Star TV na RFA. Aidha, wakataze waandishi wao kushiriki mijadala ya kila asubuhi inayoendeshwa na Star TV ambayo mara kwa mara huwa inaalika watu wa media zingine.
 
  • Thanks
Reactions: 314
Haya sasa ngoja tuone chombo chahabar nakenyewe kitazuiwaje kurusha habar nawakat kinamitambo yake nakila siku kinarusha habar
Sasa na wewe ndo unaongea mambo gani hapa!!! Kwani wanaotoa ruhusa au kuzuia media kutoa content ni TEF na UTPC?! Au kwani hilo angalizo limetolewa na TCRA?! Au kuna popote ambapo TEF na UTPC walisema media yoyote ikishirikiana na Bashite basi watazuiwa kurushwa habari?!
 
  • Thanks
Reactions: 314
Kwan tv nizakwenu?tv niyaantony dialo anamamaka yakufanya atakavo iliradi asivuje sheria za nchi wala hamjamfungulia tv yake wala kumchangia hata mia acha afanye atakavo kwan hakuna anaempangia
 
Back
Top Bottom