Hasara gani wanayopata?- Walitumwa na wauza unga ndio maana na ndio wanaowalipa hasara wanayopata kwa uamuzi ule, ndio maana tunawapa muda tuone wataishia wapi?
le Mutuz
Hasara gani wanayopata?- Walitumwa na wauza unga ndio maana na ndio wanaowalipa hasara wanayopata kwa uamuzi ule, ndio maana tunawapa muda tuone wataishia wapi?
le Mutuz
Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...Thank you sana star TV, tunasubiri kwa hamu kuona na kusikiliza mahojiano na kiongozi rais mtarajiwa 2025
Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...Wengine Mabashite kweli ati rais wa 2025 kweli akutukanaye hakuchagulii tusi Bashite awe Rais wa Tz?
Mkuu Chige, Daudi Albert Bashite pale ni kama nyumbani kwake, anaingia saa yoyote bila kupiga hodi au kutoa taarifa. Wale makirikiri ni walinzi wake kila mahali huenda nao isipokuwa msalani na maliwatoni!. Tukio lilikuwa blown over proportion!.Ngoja nikuulize swali: Je, unakubaliana na kitendo ambacho alikifanya Makonda pale Clouds TV?! Unaamini alikuwa sahihi kabisa pale na hakuna kosa lolote alilofanya?!
Nadhani wamwachie 2020 kabisa!
Mkuu Paskali, kuwalaumu StarTV ni sawa. Makubaliano, hata kama yalikuwa ni ya "kijinga" kwa mtazamo wako, lakini kama Startv waliyaridhia kama wanachama wa TEF/MOAT na clubs wakati ule, wanachokifanya ni usaliti unaostahili kushughulikiwa kwa kiwango cha kutoa fundisho kwa wengine!Mkuu Chige, Daudi Albert Bashite pale ni kama nyumbani kwake, anaingia saa yoyote bila kupiga hodi au kutoa taarifa. Wale makirikiri ni walinzi wake kila mahali huenda nao isipokuwa msalani na maliwatoni!. Tukio lilikuwa blown over proportion!.
Media zetu are too weak and too poor to say no to DAB!. Hili nililisema hapa
Media Kususia Habari za Fulani: Jee Tanzania Tuna Independent Media Yenye Jeuri Hiyo?.
Hivyo kuwalaumu Star TV ni kuwaonea bure!.
It's high time TEW watoe rules of engagement with their rules of ethics kuwa hiki kikifanyika, ndipo media isusie, na sio kwa hii double standards za cherry picking.
Jumatatu asubuhi macho na masikio yetu yote ni Star TV, tunasubiri kwa hamu kumsikia Daudi Albert Bashite wa Koromije akiwa live mubushara au kukiri au kukanusha tuhuma zote zinazomkabili.
Mimi nitaangalia na nawashauri na wengine tuangalie na kama kuna fursa za kupiga simu hata mimi nitapiga kuulizia baada ya kubainika rasmi jina lake halisi ni Daudi Bashite, kwa nini mpaka sasa bado anatumia jina la wizi la Paul Christian?.
Paskali
Mkuu Chabusalu, kwanza sijasema katazo ni la kijinga, its just not practical! .Mkuu Paskali, kuwalaumu StarTV ni sawa. Makubaliano, hata kama yalikuwa ni ya "kijinga" kwa mtazamo wako, lakini kama Startv waliyaridhia kama wanachama wa TEF/MOAT na clubs wakati ule, wanachokifanya ni usaliti unaostahili kushughulikiwa kwa kiwango cha kutoa fundisho kwa wengine!
Mamaaa Bashite Lenyewe hilooo- Ungekaaa pembeni napigana na samaki mkubwa huyo kwa jina la bandia maana huyu amepata ujumbe atafikishia wenzake kuwa kumbe wanapoteza muda na mgomo hahahahahhaa
le Mutuz
kumbe wanatangaza kwa kutumia maspika!!!Acheni kuwapangia watu.au mliwasaidia kununua maspika?
Kama wameamua waacheni.
kumbe wanatangaza kwa kutumia maspika!!!
Lengo la Media ni kujenga na sio kubomoa, kama Bashite amekosea, anastahili kusaidiwa ili ajirudi na sio kususwa.
Ushauri wangu kwa media zote ambazo zoko resiponsible kwa jamii, msisusie habari za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, ili pia kwa vile media tunatakiwa kuwa wakweli daima, then hata Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam aandikwe kwa ukweli kabisa, ikiwemo kutumiwa rasmi kwa majina yake halisi ya Daudi Albert Bashite, na sio yale majina ya wizi ya Paul Christian.
Insane Anahitaji Huruma, Kusaidiwa. Sio Kulaumiwa, Kulaaniwa na ...
Media Kususia Habari za Fulani: Jee Tanzania Tuna Independent ...
Paskali
Uliyosema yote kuhusu Bashite na Clouds hapo kabla ni ukweli tupu!!! Hata hivyo, twende hatua kwa hatua na unijibu maswali yangu kama ulivyofanay kwa hilo hapo juu:Mkuu Chige, Daudi Albert Bashite pale ni kama nyumbani kwake, anaingia saa yoyote bila kupiga hodi au kutoa taarifa. Wale makirikiri ni walinzi wake kila mahali huenda nao isipokuwa msalani na maliwatoni!. Tukio lilikuwa blown over proportion!.
Media zetu are too weak and too poor to say no to DAB!. Hili nililisema hapa
Media Kususia Habari za Fulani: Jee Tanzania Tuna Independent Media Yenye Jeuri Hiyo?.
Hivyo kuwalaumu Star TV ni kuwaonea bure!.
It's high time TEW watoe rules of engagement with their rules of ethics kuwa hiki kikifanyika, ndipo media isusie, na sio kwa hii double standards za cherry picking.
Jumatatu asubuhi macho na masikio yetu yote ni Star TV, tunasubiri kwa hamu kumsikia Daudi Albert Bashite wa Koromije akiwa live mubushara au kukiri au kukanusha tuhuma zote zinazomkabili.
Mimi nitaangalia na nawashauri na wengine tuangalie na kama kuna fursa za kupiga simu hata mimi nitapiga kuulizia baada ya kubainika rasmi jina lake halisi ni Daudi Bashite, kwa nini mpaka sasa bado anatumia jina la wizi la Paul Christian?.
Paskali
Naamini you're smart enough kufahamu nini maana ya double standard!!! Hivi unaweza kuniambia ni double standard ipi iliyofanyika ama dhidi ya Bashite au Star TV?!t's high time TEW watoe rules of engagement with their rules of ethics kuwa hiki kikifanyika, ndipo media isusie, na sio kwa hii double standards za cherry picking.
Kipindi kinachovuta audience kubwa kwa Star TV and RFA ni pamoja na kipindi cha Kutoka Magazetini!!
Kama ndivyo, endapo Star TV wataendelea na programu yao na Daudi Albert Bashite, basi wamiliki wa vyombo vya habari wapige marufuku magazeti yao kusomwa na Star TV na RFA. Aidha, wakataze waandishi wao kushiriki mijadala ya kila asubuhi inayoendeshwa na Star TV ambayo mara kwa mara huwa inaalika watu wa media zingine.
Sasa na wewe ndo unaongea mambo gani hapa!!! Kwani wanaotoa ruhusa au kuzuia media kutoa content ni TEF na UTPC?! Au kwani hilo angalizo limetolewa na TCRA?! Au kuna popote ambapo TEF na UTPC walisema media yoyote ikishirikiana na Bashite basi watazuiwa kurushwa habari?!Haya sasa ngoja tuone chombo chahabar nakenyewe kitazuiwaje kurusha habar nawakat kinamitambo yake nakila siku kinarusha habar
Kwa kiwango cha uchafu kilichopo na kasi ya Magufuli ya safisha safisha anayokwenda nayo sasa, ukiachia ile nguvu ya soda aliyoanza nayo ili tuu kupata kiki, then hata 2025 haitoshi kukamilisha kazi ya kuondoa uozo wote na kukamilisha miradi yote, hivyo tumeshauri tubadili katiba tumuongeze angalau kama Kagame, Museveni au Mugabe.Nadhani wamwachie 2020 kabisa!