Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,322
- 5,541
Hujui unachozungumzaMakao makuu ni nyumba ya familia ya Bob Makani!
Ana Roho ya kipeke maana Hela zote hizi anazitoa mfukoni mwake, Kweli ni mfano wa kuigwaMakonda ana huruma sana
Amewajengea Bakwata ghorofa la makao makuu
Amewapa Yanga uwanja kigamboni
Amewalipia watoto zaidi ya 600 bima ya afya
Amewajengea CCM kinondoni ofisi za ghorofa
Amejenga ofisi za walimu Dsm yote
Amewapa Chadema ofisi zilizokuwa za CCM waweze kujisitiri
Hakika hakuna kiongozi wa CCM mwenye upendi kumzidi RC Makonda!
Walikuwa jirani zangu wale labda kama Mbowe aliinunua!
Kutoa siyo utajiri bwashee......... Maana hata hilo jengo la CCM alilowapa Chadema hajalitoa mfukoni mwake!Ana Roho ya kipeke maana Hela zote hizi anazitoa mfukoni mwake, Kweli ni mfano wa kuigwa
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
bambie kuwa mtu akikutumia kwa faida yako kuna siku atakutumia kwa faida yake! yajayo yanahuzunisha.Mchekeeni tu. Kuna siku mtakuja kusema oooh ni fisadi. Siku ukisikia utakatishaji fedha Kisutu ndio mtabadilisha mapambio au kukinbia kabisa humu kijiweni kama kawaida yenu
Mkuu ni bora kuendelea na ile ofisi au mpate mpya?Cdm sio taasisi ya kutakatisha pesa chafu. Hizo hela za unga awajengee ccm ofisi maana taasisi ya kupambana na dawa za kulevya iko chini yao.
Hela za kupora watu kwa mtutu wa bunduki wa Wasiojulikana. Nitawashangaa CHADEMA kwa hatua yo yote watayochukua kuhusu upuuzi huu.Makonda ana huruma sana
Amewajengea Bakwata ghorofa la makao makuu
Amewapa Yanga uwanja kigamboni
Amewalipia watoto zaidi ya 600 bima ya afya
Amewajengea CCM kinondoni ofisi za ghorofa
Amejenga ofisi za walimu Dsm yote
Amewapa Chadema ofisi zilizokuwa za CCM waweze kujisitiri
Hakika hakuna kiongozi wa CCM mwenye upendi kumzidi RC Makonda!
Hela za rushwa hizo
Huyu mwenye upendo mkuu hivi kwa watu wa DSM siyo Mungu?Makonda ana huruma sana
Amewajengea Bakwata ghorofa la makao makuu
Amewapa Yanga uwanja kigamboni
Amewalipia watoto zaidi ya 600 bima ya afya
Amewajengea CCM kinondoni ofisi za ghorofa
Amejenga ofisi za walimu Dsm yote
Amewapa Chadema ofisi zilizokuwa za CCM waweze kujisitiri
Hakika hakuna kiongozi wa CCM mwenye upendi kumzidi RC Makonda!
Mkaanze upya kupenyeza ajenda za kipumbavu. Uchaguzi ndani ya chadema umekamilika nendeni mahakamani mfungue kesi ya kupinga uchaguzi kama mlivyopangaHahuhitaji kuwa na degree kutambua watu wenye taranta ya kuwa viongozi
Makonda ni mfano wa kiongozi anaegusa maisha ya watu mojakwamoja.
Aibu hii ilitosha kumfanya Mbowe ajiuzuru..
Kwa salarii ya Ara Sii? He must be joking. Na hao ta kei kei rei wapo tu, na tii ara ii nao wapo tuu hawaulizi chanzo cha ukwasi wa Mtu wa Mungu huyu mwenye huruma hata kwa chama chengine!Makonda ana huruma sana
Amewajengea Bakwata ghorofa la makao makuu
Amewapa Yanga uwanja kigamboni
Amewalipia watoto zaidi ya 600 bima ya afya
Amewajengea CCM kinondoni ofisi za ghorofa
Amejenga ofisi za walimu Dsm yote
Amewapa Chadema ofisi zilizokuwa za CCM waweze kujisitiri
Hakika hakuna kiongozi wa CCM mwenye upendi kumzidi RC Makonda!
Kumbe sometimes unakuwaga hivi 😟Naona Makonda anawaonea huruma chama cha chakula ruzuku.