mwanatanu
JF-Expert Member
- Jan 22, 2008
- 851
- 127
wana bodi nimemsikiliza sana mhe Makonda hotuba zake nyingi alizotoa kwanza kama hili la shisha alidai alipokuwa doubletree amemwona msichana mzuri sana mdogo akivuta shisha na sasa amepiga marufuku uvutwaji wa shisha.
Shisha huvutwa sana na vijana na wazee ambao wanajiweza kifedha je mhe Makonda je umetumwa na tajiri amabye mtoto wake ulimwona akivuta shisha?
Nasema kwa vile sikuoni ukija huku uswazi ukaona watoto ambao ndio wengi kuliko hawo wavuta shisha wachache wakivuta,bangi, gundi, unga na wanywaji viroba.
Tumekukaribisha uswazi kufuturu nasi lakini tukaambiwa uko busy siku mbili baadae unapiga picha na tajiri wa kiarabu akikufrutisha kwake.
Njoo uswazi ujionee watu wanavyobakwa kila usiku wewe unayazungumzia ya masaki na doubletree au uswazi sio dar???
Shisha huvutwa sana na vijana na wazee ambao wanajiweza kifedha je mhe Makonda je umetumwa na tajiri amabye mtoto wake ulimwona akivuta shisha?
Nasema kwa vile sikuoni ukija huku uswazi ukaona watoto ambao ndio wengi kuliko hawo wavuta shisha wachache wakivuta,bangi, gundi, unga na wanywaji viroba.
Tumekukaribisha uswazi kufuturu nasi lakini tukaambiwa uko busy siku mbili baadae unapiga picha na tajiri wa kiarabu akikufrutisha kwake.
Njoo uswazi ujionee watu wanavyobakwa kila usiku wewe unayazungumzia ya masaki na doubletree au uswazi sio dar???