Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 11,479
- 12,247
Kapiga la kuchumpa la kupalama....!!!
picha inamwisho let us keep silence
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
picha inamwisho let us keep silence
Daah, kuna kitu hakipo sawa about his masculinity. Naomba nisiende mbali sana.Sehemu ya enjoyment za mzee baba!!View attachment 1098642
Kumbe kula bata ni noma !?Awauliza kina sadam Hussein .gadafi ' Patrice lumumba na kina Valentine stresser " maisha Yakoje !?
Maana sidhani kama aliwahi kula bata kama wao -- lakini hakuna mtu timamu asiyejua kilicho wakuta
Wapi nimesema kuwa ni noma !?Kumbe kula bata ni noma !?
Nimeuliza, maana hao wengine uliowataja wamepata majanga kwa kula bata !Wapi nimesema kuwa ni noma !?
Ohh --sikuwa na mantiki hiyo --- but nilitaka atambue kuwa unapo pata nafasi kama hiyo huna sababu ya kuanza kujisifu na kujikweza kiasi hicho ---Nimeuliza, maana hao wengine uliowataja wamepata majanga kwa kula bata !
Ulikuwa na busara.inakuaje Unataka KU kengeuka.?Ni kweli lazima ale raha na kuenjoy...si zawadi ya kudumu ya wowowo ipo bhana
Halafu wanawake bhana asa Amen ya nini hapo?
Hiyo inaitwa social network alertUlikuwa na busara.inakuaje Unataka KU kengeuka.?
Ulikuwa na busara.inakuaje Unataka KU kengeuka.?
Huyu mtu ndo anakaribia mwisho wake hivyo mvumilieni kidogo tu.Makonda ni kati ya tunu mbovu za taifa.