Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,936
- 40,518
LOL!
Ndio jibu korofi kumbe
Hill ndiyo jibu korofi, sema zamani nilikuwa sikuelewi elewi, angalau kuna jinsi Babu Asprin amesababisha nikuelewe vizuri.
LOL!
Ndio jibu korofi kumbe
Hill ndiyo jibu korofi, sema zamani nilikuwa sikuelewi elewi, angalau kuna jinsi Babu Asprin amesababisha nikuelewe vizuri.
Muda utaongea ngoja atakuja Mtu tz atampukutisha hadi arudi koromije, maana mbereko inamwisho wake"Mimi ni kati ya wachache wanaokula raha duniani"-Makonda.
Habari ndo hiyo,
Video ndo hizo,
View attachment 1098636
View attachment 1098637
Sasa huyu ni kati ya wachache wasiopata usingizi kwa kuhofia kuuwawa. Somo kubwa hili!"Mimi ni kati ya wachache wanaokula raha duniani"-Makonda.
Ukisikia nyuna geuka! Kweli kuimba kupokezanaSasa huyu ni kati ya wachache wasiopata usingizi kwa kuhofia kuuwawa. Somo kubwa hili!
Teknolojia haisahau. Mla raha leo analia kwa huzuni.Hatari Sana
"Mimi ni kati ya wachache wanaokula raha duniani"-Makonda.
Tayari kashaanza kujikiza huko twitani...tehKila lenye mwanzo lina mwisho.
Hapa marehemu Ruge alinena, na neo lake hadi leo bado linaishiTeknolojia haisahau. Mla raha leo analia kwa huzuni.
Bado anakula raha!? Kwa mwenye taarifa zake wakuu