omarion5
JF-Expert Member
- Oct 14, 2017
- 5,206
- 17,677
Ilo neno mtukufu sioni kama linafaa kukaa hapoBashite kazi anayojua ni kumsifia mtukufu malaika na kufanya unyama kumfurahisha ni urafiki wa hatari sana
Sent from my SM-J530F using Tapatalk
Ilo neno mtukufu sioni kama linafaa kukaa hapoBashite kazi anayojua ni kumsifia mtukufu malaika na kufanya unyama kumfurahisha ni urafiki wa hatari sana
Unafikiria yameisha..Lissu lazima afungue kesi..ila akifa mabeberu yatamvalia njugaMkuu kwani alivyopigwa risasi hadharani na kunusurika kufa ICC haikuepo?
the Legend☆
Kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 "inasema kwamba Rais akiwa madarakani hawezi kushitakiwa kwa makosa ya jinai wala madai kuhusiana na jambo lolote ambalo Rais alilifanya ama kabla ya kushika kiti cha urais au baada."Unafikiria yameisha..Lissu lazima afungue kesi..ila akifa mabeberu yatamvalia njuga
Yah right... Babu Seya na wanawe wanaendeleza kazi mtaani thanks to JM!!
Great mind, great thinker, good and beautiful baby with a great mind in the head. Binafsi ningekua karibu na kondakta ningemshauri kuufunga mdomo wake but anyway, damu ya mtu mbaya sanaNimejikuta najiuliza hili swali na sipati majibu kabisa
Tanzania tuna wakuu wa mikoa zaidi ya 30 na Tanzania bara zaidi ya 20 kwa nini awe makonda anamkabili Lisu
Na isitoshe Lisu ni mbunge wa mkoa wa Singida kwa nini mkuu wa mkoa huo asimkabili Lisu anakuwa Makonda?
Je serikali ya Magufuli imempa jukumu hilo?
Tangu juzi kupitia mitandaoni na leo kwenye mikutano yao ya madini Makonda vs Lisu
Wananchi tumeanza kupata picha juu ya yale yaliyowahi kusemwa
Sent using Jamii Forums mobile app