Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,264
- 105,429
But would you still vote for him?💯%.
And I’ve said it many times.
But would you still vote for him?💯%.
And I’ve said it many times.
fanya citation ya hicho kifungu cha sheria hapa.Mjadala ulikuwa mzuri sana kati ya mtangazaji nguli wa BBC na RC Makonda mada ikiwa uhalali wa kuchapisha majina ya waume za watu kwenye tovuti ya Serikali.
RC Makonda amesema Mara baada ya kumalizika mkutano was SADC patafanyanyika mjadala mpana jijini DSM kuhusiana na agizo hili
Zuhura alitaka kujua kama maagizo ya Makonda yako kwa mujibu was sheria au ni ubunifu binafsi, RC Makonda amemuelimisha kuwa agizo hili ni kwa mujibu wa sheria ya ndoa iliyopitishwa na bunge kisha akamsomea vifungu kadhaa kiutaalam kabisa.
Nitauweka hapa huo mjadala nikiweza
Source BBC Dira ya Dunia
Asante sana, na mimi nilitaka kuuliza hivyo hivyo.fanya citation ya hicho kifungu cha sheria hapa.
But would you still vote for him?
Chuuu! Relax mamiKwa hiyo?
Chuuu! Relax mami
Nchi hii inaweza tawaliwa hata na mataahira. Nchi hii hata "mbwa" anaweza kuongoza akichaguliwa, nchi hii hata "mavi" yanaweza kuongoza, tulivyo sisi watanzania yakichaguliwa au kuteuliwa.... najua utachukia ngoja niseme ninaloliona kwa sasa!Mjadala ulikuwa mzuri sana kati ya mtangazaji nguli wa BBC na RC Makonda mada ikiwa uhalali wa kuchapisha majina ya waume za watu kwenye tovuti ya Serikali.
RC Makonda amesema Mara baada ya kumalizika mkutano was SADC patafanyanyika mjadala mpana jijini DSM kuhusiana na agizo hili
Zuhura alitaka kujua kama maagizo ya Makonda yako kwa mujibu was sheria au ni ubunifu binafsi, RC Makonda amemuelimisha kuwa agizo hili ni kwa mujibu wa sheria ya ndoa iliyopitishwa na bunge kisha akamsomea vifungu kadhaa kiutaalam kabisa.
Nitauweka hapa huo mjadala nikiweza
Source BBC Dira ya Dunia
Na kweli kafanikiwa. Maana hadi CNN kafika.Jamaa anataka tu atengeneze habari kubwa ili ajadiliwe.
Sema kitamaduni mwanamke haolewi na wanaume wawili at onceAisee Zuhura ni mzuri kwakweli.
She is one of the most beautiful swahili ladies i have ever seen.
AiseeSasa wewe kwa akili zako unadhani Hilo la database linafanikiwa?? Labda kama hujui ni kuwa wanawake wengi wanapenda kuwa na mahusiano na wanaume waliooa, hasa wadogo kuanzia wanafunzi wa sekondari hadi vyuo, na mkitaka muwakataze ndo mtawafanya wawe wanajiuza mitaani bora watulie na waume za watu taatiiiibu.
Mjadala ulikuwa mzuri sana kati ya mtangazaji nguli wa BBC na RC Makonda mada ikiwa uhalali wa kuchapisha majina ya waume za watu kwenye tovuti ya Serikali.
RC Makonda amesema Mara baada ya kumalizika mkutano was SADC patafanyanyika mjadala mpana jijini DSM kuhusiana na agizo hili
Zuhura alitaka kujua kama maagizo ya Makonda yako kwa mujibu was sheria au ni ubunifu binafsi, RC Makonda amemuelimisha kuwa agizo hili ni kwa mujibu wa sheria ya ndoa iliyopitishwa na bunge kisha akamsomea vifungu kadhaa kiutaalam kabisa.
Nitauweka hapa huo mjadala nikiweza
Source BBC Dira ya Dunia
Hahaha, unanikumbusha interview ya Kanye na Letterman katika "My Next Guest Needs No Introduction".Depends on who is running against him.
I could sit it out as well....
Hahaha, unanikumbusha interview ya Kanye na Letterman katika "My Next Guest Needs No Introduction".
Kanye alibwata sana mambo ya MAGA, Letterman aka assume jamaa atakuwa ka vote Trump.
Come to find out jamaa maneno mengi lakini hajapiga kura!
Hahaha, the country is not ready for me, even though I was walking the corridors of Ikulu from the days of being inside my mothers womb.When Miss Wicken (RIP) used to lunch on half an apple and two slices of bread sandwich, despite all the Ikulu culinary opulence.I could vote for you if you toss your hat in the ring [even with zero political experience].
But if the choice is binary: Magufuli vs Membe.
My vote is a no-brainer.
Magufuli all day everyday and twice on Sunday.
It is totally misleading.
Alichopatia ni Chapter Number sheria ya ndoa ni Cap 29 vingine vyote ni misleading.
VIFUNGU ALIVYOTAJA
1. Kifungu cha 60 cha sheria ya ndoa kinahusu pressumption as to property
2. kifungu cha 70 cha sheria ya ndoa kinaongelea limitation of action for breach of promise
3. kifungu cha 71 cha sheria ya Right to return gifts
AINA ZA NDOA: kifungu cha 10
kifungu cha kumi kintoa aina mbili za ndoa
ndoa ya mke mmoja (monogamous)
ndoa ya mke zaidi ya mmoja au inayoweza kuwa ya mtu mmoja (poligamus or potentially poligamous)
JINSI YA KUFUNGISHA NDOA: kifungu cha 25
Ndoa inaweza kufungwa kwa njia tatu
kiserikali, ndoa ya Bomani(Civic)
kama wanandoa wanaamini dini fulani basi itafungwa kutokana na dini yao wanayoamini
Kiislamu kama wanandoa wote watakuwa wanaamini dini ya kiislamu
kimila kama wanatandoa watakuwa wanatoka kwenye jamii inayofuata mila hizo,
Toka sheria ya ndoa ilivyopitishwa kuna msajili wa ndoa chini ya kifungi cha 3 cha sheria ya ndoa ya kazi yake kutokana na sheria ambaye kazi yake ni kusajili ndoa na talaka. sasa anachotaka kufanya yeye sijui ni kitu gani????