Makonda ampa darasa Zuhura Yunus wa BBC kuhusu sheria ya ndoa ya Tanzania

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,512
141,239
Mjadala ulikuwa mzuri sana kati ya mtangazaji nguli wa BBC na RC Makonda mada ikiwa uhalali wa kuchapisha majina ya waume za watu kwenye tovuti ya Serikali.

RC Makonda amesema Mara baada ya kumalizika mkutano was SADC patafanyanyika mjadala mpana jijini DSM kuhusiana na agizo hili

Zuhura alitaka kujua kama maagizo ya Makonda yako kwa mujibu was sheria au ni ubunifu binafsi, RC Makonda amemuelimisha kuwa agizo hili ni kwa mujibu wa sheria ya ndoa iliyopitishwa na bunge kisha akamsomea vifungu kadhaa kiutaalam kabisa.

Nitauweka hapa huo mjadala nikiweza

Source BBC Dira ya Dunia
 
Makonda is a worthless piece of doodoo!

He has no business getting into other people’s personal businesses.

I have never ever heard any sense come out of his mouth.

Whenever he opens it, all that comes out of it is unadulterated bullshit.
 
Makonda is a worthless piece of doodoo!

He has no business getting into people’s personal businesses.

I have never ever heard any sense come out of his mouth.

Whenever he opens it, all that comes out of it is unadulterated bullshit.
Soon Nissan nyeupe itakufata bradha
 
Back
Top Bottom