Meck Sadiq akikagua gwaride Kilimanjaro
RC Malongo akikagua gwaride Arusha
Mkuu wa mkoa wa Singida akikagua gwaride
@[HASHTAG]#Mimi[/HASHTAG] sio team makonda ila tuache kuwa obsessed sana na chuki kwa kila jambo ,kwahili suala la kukagua gwaride nimegundua watu wengi wapo obsessed sana na Makonda ...RC wote wanafanya hivi lkn hakuna kelele zilizopigwa ila Makonda ndani ya muda mfupi mitandao imeanza kupiga kelele
Jamani tusomeni Katiba ipo siku Jaji mkuu Ibrahim atakagua gwaride na watu watakuja kupiga makelele humu
RC Malongo akikagua gwaride Arusha
Mkuu wa mkoa wa Singida akikagua gwaride
@[HASHTAG]#Mimi[/HASHTAG] sio team makonda ila tuache kuwa obsessed sana na chuki kwa kila jambo ,kwahili suala la kukagua gwaride nimegundua watu wengi wapo obsessed sana na Makonda ...RC wote wanafanya hivi lkn hakuna kelele zilizopigwa ila Makonda ndani ya muda mfupi mitandao imeanza kupiga kelele
Jamani tusomeni Katiba ipo siku Jaji mkuu Ibrahim atakagua gwaride na watu watakuja kupiga makelele humu