Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Nakuunga mkono kwa 100%
WTF, yaani mtu katoka UVCCM, kawa DC na baadae kawa RC tu, hana good academic background, hajawahi shika any challenging political position, hio CV inatoka wapi? Kama sio kulindwa na mamlaka zilizomteua Makonda alitakiwa kufukuzwa kazi 4yrs ago.