seedfarm
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 260
- 2,654
Makonda alitumia Madaraka yake vibaya sana ya ukuu wa mkoa, Anapaswa kufunguliwa mashtaka ya uhujumu Uchumi na utakatishaji fedha
Ni vyema ikafanyika tathmini ya Mali zake Kimehasabu na kodi alizolipa TRA pamoja na Chanzo chake halisi cha mshahara vilinganishwe
Makonda na vijana baadhi walijigeuza wafalme wakati wa utawala wa giza, Walipora chochote na kutisha wafanyabiashara
Mishahara ya wakuu wa Mikoa inajulikana kisheria na sio siri kabisa, Hakuna mkuu wa mkoa anayelipwa pesa kufikia Milioni kumi yaani kwa mwaka ni Milioni mia moja ishirini, Na kwa miaka mitano ni Milioni mia sita
Makonda hajafanya ukuu wa mkoa kwa miaka mitano, Na hata angefanya hiyo kazi hakuna mkuu wa mkoa analipwa mshahara wa Milioni kumi
Kimehasabu Makonda hana uwezo wa Kumiliki Mali alizokuwa nazo kuanzia magari ya kupora ya kifahari na nyumba za kupora za wafanyabiashara
Karma ni mbaya sana, Makonda alilalamikiwa hapa JF kuwa anajenga hekalu huko Mwanza kwao, Anamiliki magari ya watu kwa kutapeli na vitisho vikubwa
Ghorofa linaloonekana kwa sasa analosema la kwake, Kiuhalisia hana uwezo huo hata kidogo wa Kumiliki kwa kazi yake ya ukuu wa Mikoa chini ya miaka minne
Anajitapa eti mdogo wake baada ya kumaliza kusimamia ghorofa lake Mwanza akaanza kusimamia ghorofa alilopora kwa mfanyabiashara GSM lenye thamani ya zaidi ya bilioni moja
Ni muda muafaka kwa Makonda kurudisha Mali kwa wahusika,
Kazi iendelee
Pia soma: Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yake
Ni vyema ikafanyika tathmini ya Mali zake Kimehasabu na kodi alizolipa TRA pamoja na Chanzo chake halisi cha mshahara vilinganishwe
Makonda na vijana baadhi walijigeuza wafalme wakati wa utawala wa giza, Walipora chochote na kutisha wafanyabiashara
Mishahara ya wakuu wa Mikoa inajulikana kisheria na sio siri kabisa, Hakuna mkuu wa mkoa anayelipwa pesa kufikia Milioni kumi yaani kwa mwaka ni Milioni mia moja ishirini, Na kwa miaka mitano ni Milioni mia sita
Makonda hajafanya ukuu wa mkoa kwa miaka mitano, Na hata angefanya hiyo kazi hakuna mkuu wa mkoa analipwa mshahara wa Milioni kumi
Kimehasabu Makonda hana uwezo wa Kumiliki Mali alizokuwa nazo kuanzia magari ya kupora ya kifahari na nyumba za kupora za wafanyabiashara
Karma ni mbaya sana, Makonda alilalamikiwa hapa JF kuwa anajenga hekalu huko Mwanza kwao, Anamiliki magari ya watu kwa kutapeli na vitisho vikubwa
Ghorofa linaloonekana kwa sasa analosema la kwake, Kiuhalisia hana uwezo huo hata kidogo wa Kumiliki kwa kazi yake ya ukuu wa Mikoa chini ya miaka minne
Anajitapa eti mdogo wake baada ya kumaliza kusimamia ghorofa lake Mwanza akaanza kusimamia ghorofa alilopora kwa mfanyabiashara GSM lenye thamani ya zaidi ya bilioni moja
Ni muda muafaka kwa Makonda kurudisha Mali kwa wahusika,
Kazi iendelee
Pia soma: Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yake