Makonda alitoa wapi zaidi ya Sh. Bilioni moja kujenga nyumba binafsi. Je, mshahara wa Mkuu wa Mkoa kwa miaka 3 unatosha?

seedfarm

JF-Expert Member
Feb 9, 2020
260
2,654
Makonda alitumia Madaraka yake vibaya sana ya ukuu wa mkoa, Anapaswa kufunguliwa mashtaka ya uhujumu Uchumi na utakatishaji fedha

Ni vyema ikafanyika tathmini ya Mali zake Kimehasabu na kodi alizolipa TRA pamoja na Chanzo chake halisi cha mshahara vilinganishwe

Makonda na vijana baadhi walijigeuza wafalme wakati wa utawala wa giza, Walipora chochote na kutisha wafanyabiashara

Mishahara ya wakuu wa Mikoa inajulikana kisheria na sio siri kabisa, Hakuna mkuu wa mkoa anayelipwa pesa kufikia Milioni kumi yaani kwa mwaka ni Milioni mia moja ishirini, Na kwa miaka mitano ni Milioni mia sita

Makonda hajafanya ukuu wa mkoa kwa miaka mitano, Na hata angefanya hiyo kazi hakuna mkuu wa mkoa analipwa mshahara wa Milioni kumi

Kimehasabu Makonda hana uwezo wa Kumiliki Mali alizokuwa nazo kuanzia magari ya kupora ya kifahari na nyumba za kupora za wafanyabiashara

Karma ni mbaya sana, Makonda alilalamikiwa hapa JF kuwa anajenga hekalu huko Mwanza kwao, Anamiliki magari ya watu kwa kutapeli na vitisho vikubwa

Ghorofa linaloonekana kwa sasa analosema la kwake, Kiuhalisia hana uwezo huo hata kidogo wa Kumiliki kwa kazi yake ya ukuu wa Mikoa chini ya miaka minne

Anajitapa eti mdogo wake baada ya kumaliza kusimamia ghorofa lake Mwanza akaanza kusimamia ghorofa alilopora kwa mfanyabiashara GSM lenye thamani ya zaidi ya bilioni moja

Ni muda muafaka kwa Makonda kurudisha Mali kwa wahusika,

Kazi iendelee


Pia soma: Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yake
 
bunge la katiba walilipwa pdm ya laki 3, tuanzie hapo!
Hata angelipwa Milioni moja kwa siku, Bunge la katiba walikaa chini ya miezi kumi na mbili, Hawakukaa mwaka mzima

Haya kwa siku 300,000 week ni 2,100,000

Kwa mwezi ni 8,400,000

Kwa mwaka ni 100,800,000 yaani Milioni mia moja na laki nane

Je Bunge la katiba walikaa mwaka mzima?

Walikaa chini ya miezi 5

Makonda hata ukijumlisha Mali za ukoo wake na ndugu zake na marafiki zake hawana uwezo wa Kumiliki bilioni moja

Makonda ni mtanzania maskini kama Wengine, Aliridhika na Mali za kupora na matako yakalia mbwata eti anakula raha kuliko watu wote hapa Tanzania kwa Mali za uporaji


.
 
Makonda alitumia Madaraka yake vibaya sana ya ukuu wa mkoa, Anapaswa kufunguliwa mashtaka ya uhujumu Uchumi na utakatishaji fedha

Ni vyema ikafanyika tathmini ya Mali zake Kimehasabu na kodi alizolipa TRA pamoja na Chanzo chake halisi cha mshahara vilinganishwe

Makonda na vijana baadhi walijigeuza wafalme wakati wa utawala wa giza, Walipora chochote na kutisha wafanyabiashara

Mishahara ya wakuu wa Mikoa inajulikana kisheria na sio siri kabisa, Hakuna mkuu wa mkoa anayelipwa pesa kufikia Milioni kumi yaani kwa mwaka ni Milioni mia moja ishirini, Na kwa miaka mitano ni Milioni mia sita

Makonda hajafanya ukuu wa mkoa kwa miaka mitano, Na hata angefanya hiyo kazi hakuna mkuu wa mkoa analipwa mshahara wa Milioni kumi

Kimehasabu Makonda hana uwezo wa Kumiliki Mali alizokuwa nazo kuanzia magari ya kupora ya kifahari na nyumba za kupora za wafanyabiashara

Karma ni mbaya sana, Makonda alilalamikiwa hapa JF kuwa anajenga hekalu huko Mwanza kwao, Anamiliki magari ya watu kwa kutapeli na vitisho vikubwa

Ghorofa linaloonekana kwa sasa analosema la kwake, Kiuhalisia hana uwezo huo hata kidogo wa Kumiliki kwa kazi yake ya ukuu wa Mikoa chini ya miaka minne

Anajitapa eti mdogo wake baada ya kumaliza kusimamia ghorofa lake Mwanza akaanza kusimamia ghorofa alilopora kwa mfanyabiashara GSM lenye thamani ya zaidi ya bilioni moja

Ni muda muafaka kwa Makonda kurudisha Mali kwa wahusika,

Kazi iendelee
Makonda na vijana baadhi walijigeuza wafalme wakati wa utawala wa giza, Walipora chochote na kutisha wafanyabiashara
 
Makonda alitumia Madaraka yake vibaya sana ya ukuu wa mkoa, Anapaswa kufunguliwa mashtaka ya uhujumu Uchumi na utakatishaji fedha

Ni vyema ikafanyika tathmini ya Mali zake Kimehasabu na kodi alizolipa TRA pamoja na Chanzo chake halisi cha mshahara vilinganishwe

Makonda na vijana baadhi walijigeuza wafalme wakati wa utawala wa giza, Walipora chochote na kutisha wafanyabiashara

Mishahara ya wakuu wa Mikoa inajulikana kisheria na sio siri kabisa, Hakuna mkuu wa mkoa anayelipwa pesa kufikia Milioni kumi yaani kwa mwaka ni Milioni mia moja ishirini, Na kwa miaka mitano ni Milioni mia sita

Makonda hajafanya ukuu wa mkoa kwa miaka mitano, Na hata angefanya hiyo kazi hakuna mkuu wa mkoa analipwa mshahara wa Milioni kumi

Kimehasabu Makonda hana uwezo wa Kumiliki Mali alizokuwa nazo kuanzia magari ya kupora ya kifahari na nyumba za kupora za wafanyabiashara

Karma ni mbaya sana, Makonda alilalamikiwa hapa JF kuwa anajenga hekalu huko Mwanza kwao, Anamiliki magari ya watu kwa kutapeli na vitisho vikubwa

Ghorofa linaloonekana kwa sasa analosema la kwake, Kiuhalisia hana uwezo huo hata kidogo wa Kumiliki kwa kazi yake ya ukuu wa Mikoa chini ya miaka minne

Anajitapa eti mdogo wake baada ya kumaliza kusimamia ghorofa lake Mwanza akaanza kusimamia ghorofa alilopora kwa mfanyabiashara GSM lenye thamani ya zaidi ya bilioni moja

Ni muda muafaka kwa Makonda kurudisha Mali kwa wahusika,

Kazi iendelee
Huu ni wivu wa wazi. Si alikwisha kula kwa urefu wa kamba
 
Back
Top Bottom