Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,644
- 218,096
- Thread starter
- #61
kabla mpira haujaanza hili swali lijibiwe
kabla mpira haujaanza hili swali lijibiwe
Mbona anamtukana Pierre ?Alichaguliwa na Walevi ili apunguze bei Pombe
Alichaguliwa na nani ?Hizi chuki hazina maana.
Kwangu Taifa Star aongoze nani hakuna tofauti.
Bahati mbaya hata hamtaji mwenye bahati.
Timu ya Taifa ni mali ya nchi na wananchi wake , haiwezekani watu wasio na mchango wowote kwenye soka letu wajipachike vyeo kwa malengo yaliyojificha .Chuki yako dhidi ya bwana Makonda imefika climax, you are better than that, kipi kikubwa kuwa RC dar au kuwa mwenyekiti kamati ya uhamasishaji?
Hakuna haja ya kuwa na hiyo kamati , kwanza imetokana na nini ? waacheni watanzania wenyewe waihamasishe timu yaoMkuu erthrocyte
Tuambie nani sasa awepo kwenye nafasi hiyo. Acha kuzunguka mbuyu
Kwani viongozi wa TFF kuna mwenye machungu na Mpira.
MkuuNadhani jifunze kutofautisha Benchi la Ufundi na Uhamasishaji
Makonda hakachaguliwa kwenye Bench la ufundi Bali ni Mhamasishaji tu Jambo ambalo halihitaji kujua Mpira wala Kutojua Mpira, Sasa unaposema hajawahi kucheza mpira sijui umekusidia kuprove nini wakati Bakhressa hajawaji kucheza hata Chandimu na anamiliki timu ya Azam lakini wewe kwenye Uhamasishaji tu unaanza kukosoa.
Watu tunapenda ujuaji kweli.
Na Kikwete.Kipindi Mo anachaguliwa kuwa mwenyekiti wa kusaidia Taifa Stars ishinde alichaguliwa na nani?
Ndio maana sisi wanakamati wa kamati ya roho mbaya tunafanya ibada kuomba Mungu asaidie hili litimu lifungwe magoli mia naneNimeona kwenye Gazeti la Mwananchi Ndugu Makonda akitambulishwa kama Mwenyekiti wa Kamati ya Hamasa ya Taifa Stars , huku katibu wa Kamati hiyo akitajwa kwa jina la Herisi Said , hivi hii kamati ya hamasa ina majukumu gani na iliteuliwa na nani kwa utaratibu upi ? inakuwaje watu wasio na mchango wowote kwenye soka wakapewa jukumu la uhamasishaji ?
Makonda mtu mwenye bifu kila mahali anawezaje kuwa mhamasishaji wa soka , mchezo ambao hajawahi kuucheza tangu azaliwe ? atamhamasisha nani ? Hakika mikosi ya Taifa stars inaletwa na mengi sana ! mtu aliyeshindwa kukomboa makontena yake ya biashara bandarini atahamasisha nini kwenye soka , mchezo unaohitaji pesa , umoja na mshikamano ?
Ujinga ujinga tu,wakati mashindano yaanza hatukujua kuwa tunahitaji kufuzu? J
Mtu kama makonda anaufahamu gani kuhusu mpira? Hatuwezi fanikiwa Kwa zima moto
mkuu una jicho la Tai !Dogo anajua kutafuta publicity,
Niliona akiwa kwenye mkutano huku pembeni waziri mwakyembe akiwa kakaa kama vile yeye ndio mkuu wa mkoa,na Makonda ndio waziri mwenye dhamana.
Yaani RC anabehave kama yeye ndio mwenye dhamana ya mpira ndani ya jamhuri ya muungano kuliko waziri husika.
Yaani niliona Mwakyembe na ujeuri wake wote aliouonesha kipindi kile cha Richmond,kakaa anacheka cheka kwa kila jambo Makonda analoongea.
Katika hari ya kawaida,nilitegemea,waziri awe na uhusika mkubwa kuliko mwenyekiti wa kamati,lakini wapi!!hawa mawaziri mbele ya RC wa Dar,wanakuwa wapole,waoga waoga,wanakanyaga kanyaga!
Mawaziri pekee ambao wanajua nafasi zao vzr,na hawaruhusu Papaa Makonda,awavuruge,ni Jafo,Lukuvi,