KASHOROBAN
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 859
- 736
Mie huwa naumia sana kwani huwa naomba Mungu ashuke ili hawa wauwaji hawape kichapo chao hapa hapa duniani sote tukishuhudia ila inashindikana matokeo yake wanaendelea kukejeri, napenda ili liwe funzo hata kwa wanaowaza kuthubutu kuwaumiza watanzania innocentDAB anaweweseka aamini kama chuma kimepona,huko RC Sara anasema serikali ingekuwa imefanya hilo tukio wangekuwa washamuua lissu maana hawawezi askari wao wapoteze risasi zaidi ya 30 bila kuua kweli Awamu hii ya 5 tutashuhudia vihoja vingi sana! yaani kiongozi anatoka hadharani na kutema mashudu namna hiyo,inaonekana sirikali inaua sana watu kwa risasi ndio maana amesema huwa hawakosei wakifanya hayo mambo,anaongea kulingana na uzoefu wao,kitendo cha wasiojulikna kumkosa lissu basi sio sirikali ndio imefanya kama ingefanya sirikali ingekuwa "BESHARA" ishakwisha.
Sent using Jamii Forums mobile app