Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Wakati kichwani ni hewa tu, kwa waliosma naye wanalijua hiloHuyu jamaa anapenda sana nyodo sijui kwa nini anachojivunia
Wakati kichwani ni hewa tu, kwa waliosma naye wanalijua hiloHuyu jamaa anapenda sana nyodo sijui kwa nini anachojivunia
Atawanyoosha sana wapenda misifa wa UkiwaAjiangalie hasije akaondoka kwa miguu baada ya kuharibu kwa misifa iliyopitiliza
Labda atakunyoosha wewe maana inaonekana unajuwa sana na ni mzoefu wa kunyooshwaAtawanyoosha sana wapenda misifa wa Ukiwa
Kivipi atatulala?wanaume wa dar sasa mtamtambua Makonda
Mkijilengesha mtalalwa piaKivipi atatulala?
Utamwelewaje Magu wakati wewe si mwelewa?Makonda muuza sura sana af magu mi cjamwelewa kabsa kwenye uteuz wa makonda
Njaa haina baunsa mjomba .
hakukuwa na umuhimu wa kutaja hayo mambo.
Nchi hii ni ya watu wote, Hayo majigambo hayawezi kutupatia pesa za kureplace MCC.
Tunataka umoja wa kitaifa, Kejeli na Dharau kwa watu waliochaguliwa kwa nguvu ya UMMA sio sawa.
Hizo siasa taifa iliziacha kuanza Oct 2015. Hizi kauli ndio zinatufanya vijana tuonekane Hatuna uwezo wa kazi kubwa.
Vijana wana nafasi kubwa ya kufanya maajabu katika taifa lao kuliko Hata Wazee
Salim Ahmed salim Balozi akiwa na Miaka 22,
JK Nyerere 36 alikuwa waziri baadae 38 rais
Alexander the great alitawala dunia nzima kutoka Ugiriki hadi india kila mahala akiwa na miaka 23
Mfalme Yosia Alikuwa Mfalme akiwa na Miaka 8, lkn busara zake ziliokoa taifa la Yuda.
Huyu jamaa akitaka kuingia kwenye siasa za kuchapa mdomo atajiaribia carrier yake ,ajifunze kwa Mwigulu ,kabla ya kuwa naibu waziri fedha alikua anatumika vibaya mpaka kuishia kuita watu magaidi ,ameusoma mchezo sasa hivi katulia kimya anasoma ramani
Hapo ndipo ninapoishangaa serikali ya CCM, kama unaona madiwani na mameya hawana kazi kwanini msifanye mabadiliko kupunguza gharama? Warioba alisema nafasi za mkuu wa wilaya na mkoa ni mzigo tu na kweli leo wanatuonyesha. Mh Rais kunawakati anatuzuga tu kama anania kweli ya kubana matumizi ondoa nafasi za wakuu wa mikoa, punguza majimbo ya ubunge, acha kuongeza wilaya na mikoa kila kukicha.Huyu ni muotaji the dreamer hujui alisemalo wala alitendalo
Atawanyosha kwa maigizo ya Tv na Magazeti.?Atawanyoosha sana wapenda misifa wa Ukiwa
Kuna wapenda MaigizoWOTE WAFANYE KAZ KUWATUMIKIA WANANCHI bila kuingiliana bali washauriane. tunachotaka maendeleo. mjanja atakayecheza rafu tunaye Dar ndio penyewe.