Makonda aagiza Msako nyumba hadi nyumba Dar kubaini wasio na kazi

wa hapahapa

JF-Expert Member
Aug 22, 2012
7,454
4,376
Nimepata habari kutoka Redioni kwamba mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Mhe. Paul Makonda kutaka viongozi wa Serikali za Mtaa kupita nyumba hadi nyumba kutambua watu wasio kuwa na kazi.

*Haya maagizo yawe yanajali haki za raia na kuzingatia sheria...

=============

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda, ametangaza msako wa nyumba kwa nyumba kwa wakazi wa Dar es salaam wasiokuwa na Kazi maalum za kufanya amesema Jeshi la polisi litaanza msako huo wakati wowote na ameomba ushirikiano wa viongozi wa serikali za mitaa, viongozi ambao hawatatoa ushirikiano watakamatwa na kutiwa nguvuni.
 
Karibu tujadiri,
Leo asubuhi ktk vipindi vya magazeti nimesikia wakisoma hbr ya huyu muheshimiwa, kuwa ataanzisha msako nyumba kwa nyumba huku akishirikiana na polisi ili kubaini kila mkazi anajishughulisha na kazi gan?

Amesema atadili pia na viongozi wa serikali za mtaa watakao kataa kutoa ushirikiano ktk wilaya zote 5..

Anadai kuwa anajua wapo vijana waliopewa mitaji wakala.
 
sasa ukishwapata utawasaidiaje?

images-29.jpeg


swissme
 
Back
Top Bottom