Maria Roza
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 6,797
- 1,567
Fuh...Unapitiaga hili jukwaa la Politiki???? Mi najua wewe ni wa mambo ya KIBIG Tu.....Hongera....
Hahah kila jukwaa napitia mpka la katiba :decision::decision:
Fuh...Unapitiaga hili jukwaa la Politiki???? Mi najua wewe ni wa mambo ya KIBIG Tu.....Hongera....
Avatar yako ni nzuri kuliko ya kabla!!Hahah kila jukwaa napitia mpka la katiba :decision::decision:
What is a medical doctor doing in the ministry of defense anyways? Halafu tunasema hatuna madaktari, afukuzwe aende hospitali ya mnazi mmoja unguja, tunahitaji waganga huku ati?
asante sana wazo zuri.
Download Recuva 1.39.509 - FileHippo.com
Download recuva and install,,,, it restores all deleted files and formatted drives..... Kama hiyo bado ikishindwa(ambayo itakuwa maajabu) kuna software nyingine ambayo ndio inafaulisha kila kitu.
Ndugu wanaJF kua kitu kinanishangaza, hivi katika milipuko ya mabomu Gongo la Mboto hakuna wanajeshi aliojeruhiwa na kufa? Mbona hatuambiwi?