Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
Hivi hao wakina nyie ni kina nani hasa? nimeona mara nyingi ukisema nyie.......nyie ni kina nani na wewe ni nani?:A S 112::A S 112::A S 112::A S 112:We kenge kweli: Yaani unaona matukio halafu huna reflection?. Hivi unadhani matukio haya ni ya bahati mbaya?. Hivi unadhani yanayosemwa hayana ukweli?. Au yanawauma kwa sababu sasa mambo hadharani?.
sio nyie mliokuwa mkiomba JK alipukiwe na bomu alipoenda kutembelea eneo la tukio pale gongo la mboto? Au mnadhani waTZ hawana akili?
Mbona mambo ya umbea mnashabakia lakini mambo yenye mustakabi na nchi mnayabeza?
Anyway katika msafara wa mamba na kenge na Lata , uzza na manata nao wamo!