Mkuu,
Kuna wanajeshi zaidi ya 4 wamepoteza maisha. Ngoja niendelee na intelijensia yangu nitakuja na majina kabisa. Kuna malalamiko ya ufanyaji kazi katika mazingira magumu hasa kwa sakari wa vyeo vya chini. Kifupi ni uzembe tu ndicho kilichopelekea maafa hayo.
..haijalishi kama wanajeshi wamekufa ama la.
..kuna raia wa kawaida ambao wamepoteza maisha, viungo,na mali.
Mkuu,
Kuna wanajeshi zaidi ya 4 wamepoteza maisha. Ngoja niendelee na intelijensia yangu nitakuja na majina kabisa. Kuna malalamiko ya ufanyaji kazi katika mazingira magumu hasa kwa sakari wa vyeo vya chini. Kifupi ni uzembe tu ndicho kilichopelekea maafa hayo.