Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,295
- 10,467
.... Nijisemee mwenyewe, ni muumini wa matokeo. I liked Namna majengo yalivyokuwa yakizibuliwa na Israel missiles. Kuna kitu naomba kujifunza, ni Aina gani ya makombora bora kabisa yaliyoweza kung'oa mjengo wa ghorofa 10-15 in only 2-5 seconds, yaani jengo Zima linadondoka!!
Pitia YouTube Namna jengo kubwa kama lile lililokuwa na media za Al Jazeera na AP! Few missiles linageuka kifusi!
What were the hit targets? Kwa nn hawakufanya hata a mere mistake?
They must be super intelligent!!
Ni makombora gani bora kabisa unayafahamu? Unalifahamu kombora linaitwa Hell fire? Moto wake kama jehanam u know!!
Kudos IDF!!
Pitia YouTube Namna jengo kubwa kama lile lililokuwa na media za Al Jazeera na AP! Few missiles linageuka kifusi!
What were the hit targets? Kwa nn hawakufanya hata a mere mistake?
They must be super intelligent!!
Ni makombora gani bora kabisa unayafahamu? Unalifahamu kombora linaitwa Hell fire? Moto wake kama jehanam u know!!
Kudos IDF!!