MeinKempf
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 11,094
- 7,218
Makomandoo (Full wing commando) wa South Africa walifanya kazi njema sana ya kuhakikisha ulinzi wa mwili wa Madiba. Hakika walimpa heshima ya kikomandoo , Hivi nasi kwa baba wa Taifa ilikuwa ni makomandoo??? Anayekumbuka atujuze wakuu.R.I.P Tata Madiba.