OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,525
Makomandoo wa bongo wanavunja vitofali na vibao vilivyo oza.
Uwanja wa damu tu ungetoa kubwa wewe uje usemee komando!!!!!
Sio kila kitu ni kwa kila mtu!!!!!
Makomandoo wa bongo wanavunja vitofali na vibao vilivyo oza.
Makomandoo (Full wing commando) wa South Africa walifanya kazi njema sana ya kuhakikisha ulinzi wa mwili wa Madiba. Hakika walimpa heshima ya kikomandoo , Hivi nasi kwa baba wa Taifa ilikuwa ni makomandoo??? Anayekumbuka atujuze wakuu.R.I.P Tata Madiba.
Hakuna commando katika wale pall bearers. They are high ranking military officers from different wings of the SANDF. If I'm not mistaken wale waliombeba Mwl Nyerere were of the rank of Lt. Col.
Being a commando is not a rank rather a specialization. In fact most special forces are not officers or nco's.
Mtu akibebwa Na makomandoo Na mwingine akabebwa Na majenerali Yupi anakuwa ameheshimiwa? Mtoa mada nsaidie
Ngoja nimsaidie!
Makomando wako tayaritayari kumdhiti marehemu asije akakurupuka na kukimbia.
pamoja na kupiga tigo yako !Makomandoo wa bongo wanavunja vitofali na vibao vilivyo oza.
Mtu akibebwa Na makomandoo Na mwingine akabebwa Na majenerali Yupi anakuwa ameheshimiwa? Mtoa mada nsaidie