Habari za wakati huu na siku nyingi Wana JF , leo nimekuja na swali tofauti kidogo linalohusu makomando.
Nimeangalia movies nyingi Sana Tena za kivita zikiwa chini ya commando Rambo, Anord n.k mapigano yao yanasadiki yaliyomo kwenye hii kozi? Je ule upiganaji wao na jinsi ya kupambana na majambazi au waasi ndivyo huwa wako hivyo?
Napenda kujua je kila nchi huwa inastahili zake au wote mfumo ni huohuo tu?
Nawasilisha.
Nimeangalia movies nyingi Sana Tena za kivita zikiwa chini ya commando Rambo, Anord n.k mapigano yao yanasadiki yaliyomo kwenye hii kozi? Je ule upiganaji wao na jinsi ya kupambana na majambazi au waasi ndivyo huwa wako hivyo?
Napenda kujua je kila nchi huwa inastahili zake au wote mfumo ni huohuo tu?
Nawasilisha.