Mtumaini Mungu
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 879
- 1,061
Bila shaka Mimi hizo zote nimeziangalia, japo majina huwa sikariri hata kidogo.Angalia movies ya strike back,12 strong, hokesridge, jihad1and2, the seal team, ndio zina uhalisia wa vita zilivyo
Kuna moja inaitwa BLACKHAWK DOWN sijui.. tambala limechezewa kwa history ya vita Somalia..
Zinamwaga njugu mpaka unayeangalia mkono unakuwasha.