Makofi ya kugonga meza bungeni nayachukia..

babake nasreen

JF-Expert Member
Oct 30, 2014
702
490
Habari wadau, mimi ni mtanzania ambaye napenda sana kufatilia masuala ya siasa na shughuli za serikali za Tanzania ila nina tatizo moja ambalo cjajua tatizo hili limetokana na nini:-

Huwa nachukia sana vigelegele na yale makofi ya wabunge kugonga meza kwa muda mrefu hasa kwa bunge hili la sasa....

Naombeni mnisaidie cjui tatizo ni nini?
 
Habari wadau, mimi ni mtanzania ambaye napenda sana kufatilia masuala ya siasa na shughuli za serikali za Tanzania ila nina tatizo moja ambalo cjajua tatizo hili limetokana na nini:-

Huwa nachukia sana vigelegele na yale makofi ya wabunge kugonga meza kwa muda mrefu hasa kwa bunge hili la sasa....

Naombeni mnisaidie cjui tatizo ni nini?
Wengi wape. Hata mimi nakuchukia wewe lakini kuna Chadema laki 6 wanakupenda kwa hiyo nami inabidi nikupende. Usiulize maswali ya kitoto.
 
Sisi kama UKAWA, tumemkubali rais Magufuli kwa dhati kabisa na uchaguzi wa 2020 hatutasimamisha mgombea urais,
badala yake tutaelekeza nguvu zetu kwenye ubunge.
Na tutasimamisha wagombea ubunge nchi nzima.

Mungu ibariki Tanzania
Ww ndiye msemaji wa ukawa mkuu?
 
Hawa wanadamu mjengoni pale wanashangaza sana maana wanapigamakofi endapo mtoa mada wakiwa wanampenda

Mfano bajeti iliyopita walipigasana meza baada ya kuambiwa watakatwa kodi kwenye viinua mgongo vyao
Walipiga makofi kwakua hawakua makini,baada ya waziri kurudia,wabunge hao walianza kuzoza
Hata jtatu watalalamika watakapochangia bajeti hiyo kanakwamba hawakua wakipiga meza mangumi
 
Nafikiri kuwa atokee mtaalamu mmoja atengeneze mixer ambayo mbunge akibonyeza button kinapiga makofi badala ya kupiga mabenchi.
 
Sisi kama UKAWA, tumemkubali rais Magufuli kwa dhati kabisa na uchaguzi wa 2020 hatutasimamisha mgombea urais,
badala yake tutaelekeza nguvu zetu kwenye ubunge.
Na tutasimamisha wagombea ubunge nchi nzima.

Mungu ibariki Tanzania
Sisemi weye ni mwongo ila husemi kweli kuwa weye ni pro-sisiemu mpaka ptuuuuuu!
 
Back
Top Bottom