Makofi tafadhali... Stevoh ndani ya jamvi tena..

stevoh

JF-Expert Member
Dec 5, 2011
2,921
1,104
Salamu.
Wanajamvi kijana stevoh nimerudi ndani ya nyumba..
Ukweli nimewamisi sanaa..
Nilikua napita kwenye mapito ila nimeyamaliza NOW AM BACK.!!
Nyimbo inayovuma baada ya kupita..
Jaribu kwa mtu sio kwamba ni mtenda dhambi,
ila ni wakati tu ambao ninapitia...
"Jaribu kwa mtu sio kwamba ni mtenda dhambi,
ila ni kikombe tuu ambacho ni lazima nikinywe...

alafuu kuna huu tena...
nani ajuaye maumivu ya moyo...
Nani awezaye yatambua yakutesayo moyo

RECOGNIZE AM BACK.
Copy:
Erickb52, charminglady, Zion Daughter, lady furahia, Chocs, watu8, Mr Rocky, [nimepoteza namba],
Madame B, etc etc
 
Last edited by a moderator:
Nina wasi wasi ulikuwa likizo ya lazima na net ya ofisi ikapotea ndo maana
karibu tena mkuu humu stevoh tupo aise
Ila usije ingilia mke wa mtu Baba V kawa mkali kama pilipili baada ya majaribio ya kumpindua kutoka kwa Erickb52 kushindikana
 
Last edited by a moderator:
Salamu.
Wanajamvi kijana stevoh nimerudi ndani ya nyumba..
Ukweli nimewamisi sanaa..
Nilikua napita kwenye mapito ila nimeyamaliza NOW AM BACK.!!
Nyimbo inayovuma baada ya kupita..
Jaribu kwa mtu sio kwamba ni mtenda dhambi,
ila ni wakati tu ambao ninapitia...
"Jaribu kwa mtu sio kwamba ni mtenda dhambi,
ila ni kikombe tuu ambacho ni lazima nikinywe...

alafuu kuna huu tena...
nani ajuaye maumivu ya moyo...
Nani awezaye yatambua yakutesayo moyo

RECOGNIZE AM BACK.
Copy:
Erickb52, charminglady, Zion Daughter, lady furahia, Chocs, watu8, Mr Rocky, [nimepoteza namba],
Madame B, etc etc

Mhhhh.Mapito!?Nina mashaka
 
Last edited by a moderator:
Nina wasi wasi ulikuwa likizo ya lazima na net ya ofisi ikapotea ndo maana
karibu tena mkuu humu stevoh tupo aise
Ila usije ingilia mke wa mtu Baba V kawa mkali kama pilipili baada ya majaribio ya kumpindua kutoka kwa Erickb52 kushindikana

muulize mke wangu atakujibu kama ni mke wa wanaume wawil ama la.
 
Last edited by a moderator:
Salamu.
Wanajamvi kijana stevoh nimerudi ndani ya nyumba..
Ukweli nimewamisi sanaa..
Nilikua napita kwenye mapito ila nimeyamaliza NOW AM BACK.!!
Nyimbo inayovuma baada ya kupita..
Jaribu kwa mtu sio kwamba ni mtenda dhambi,
ila ni wakati tu ambao ninapitia...
"Jaribu kwa mtu sio kwamba ni mtenda dhambi,
ila ni kikombe tuu ambacho ni lazima nikinywe...

alafuu kuna huu tena...
nani ajuaye maumivu ya moyo...
Nani awezaye yatambua yakutesayo moyo

RECOGNIZE AM BACK.
Copy:
Erickb52, charminglady, Zion Daughter, lady furahia, Chocs, watu8, Mr Rocky, [nimepoteza namba],
Madame B, etc etc

Karibu saaaana mkuu... Huko utokako.kuna usalama kweli????
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom