Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Samahani kaka...huw unatumia alcohol? Mm nacheka kwa comments zako had nakohoa hapa.dah we mtu ww kivuruge balaa🤣🤣🙌Sasa si mtaani kwenu! Ikiwezekana upeni basi jina lake huo mtaa wenu. Ila kuhusu urais, hilo sahau! Hatuhitaji Mataga kuitawala nchi yetu.