Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,501
- 4,213
Leo alipotajwa Mhe. Kassim Majaliwa Kassim Bungeni, alipigiwa makofi mengi sana tofauti na wenzake.
Kwa mtazamo wangu kwa wiki hizi kadhaa Waziri huyu mkuu amekosha nyoyo za watanzania wengi na ameonekana kukubalika sana.
Huenda KMK akawa ndiye Rais ajaye wa JMT.
Kwa mtazamo wangu kwa wiki hizi kadhaa Waziri huyu mkuu amekosha nyoyo za watanzania wengi na ameonekana kukubalika sana.
Huenda KMK akawa ndiye Rais ajaye wa JMT.