GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,516
- 108,791
Ili utokea Sare / Suluhu na Yanga SC Mfumo huu wa 4-5-1 unafaa kama kweli Wachezaji wako wakiuzingatia.
Upoje?
Ni kwamba unachezesha Mabeki mahiri Wanne huku ukiwajaza katikati Viungo wote, Mawinga pamoja na Namba Kumi ili wawe Watano halafu kule mbele unamuacha Mchezaji Mmoja tu mwenye Mbio na Nguvu ili muwe mnafanya Counter na Kuwazuia Mabeki wa Kati wasipande kwa Kumuogopa.
Ili uwabahatishe Kuwafunga Yanga SC Mfumo huu wa 3-5-2 unafaa endapo tu Wachezaji wako watajitambua.
Upoje?
Unakuwa na Mabeki Katili Watatu na Wachezaji Watano wa Kuubana Uwanja na Washambuliaji Wawili Wasumbufu na wenye Mbio hapa Yanga SC utamuweza.
Sijui ni kwanini Makocha wengi wanaokutana na Yanga SC wanashindwa Kuutumia na badala yake wanabaki tu Kuiogopa Yanga SC, Kulegea na Kukubali Kufungwa nayo.
Kocha wa Police Tanzania mbinu hii Ok?
Upoje?
Ni kwamba unachezesha Mabeki mahiri Wanne huku ukiwajaza katikati Viungo wote, Mawinga pamoja na Namba Kumi ili wawe Watano halafu kule mbele unamuacha Mchezaji Mmoja tu mwenye Mbio na Nguvu ili muwe mnafanya Counter na Kuwazuia Mabeki wa Kati wasipande kwa Kumuogopa.
Ili uwabahatishe Kuwafunga Yanga SC Mfumo huu wa 3-5-2 unafaa endapo tu Wachezaji wako watajitambua.
Upoje?
Unakuwa na Mabeki Katili Watatu na Wachezaji Watano wa Kuubana Uwanja na Washambuliaji Wawili Wasumbufu na wenye Mbio hapa Yanga SC utamuweza.
Sijui ni kwanini Makocha wengi wanaokutana na Yanga SC wanashindwa Kuutumia na badala yake wanabaki tu Kuiogopa Yanga SC, Kulegea na Kukubali Kufungwa nayo.
Kocha wa Police Tanzania mbinu hii Ok?