MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,992
- 10,497
Alafu mbona magu kamwambia mpambe wake akamuondoe yule mkalimani kwanini amefanya vile.
Yaani hata palamagamba alipoinuka kwenda kutoahotuba aliamua kumsalimia kumpa heshima mkulu lkn ukiangalia utaona wala hakuwa na habari ya ile salam.
Duh hii ni shidah
Yaani hata palamagamba alipoinuka kwenda kutoahotuba aliamua kumsalimia kumpa heshima mkulu lkn ukiangalia utaona wala hakuwa na habari ya ile salam.
Duh hii ni shidah