Makinikia special thread 12/06/2017

onyx

JF-Expert Member
Mar 17, 2016
1,587
1,306
Tuwe pamoja tufahamishane kitakachojiri.Leo ndio siku tutafahamu ni kiasi gani tumepoteza na hawa wezi tuwafanyeje kisheria


Waleteeeeeeeee!
 
Mpaka sasa dakika ya 45 kipindi cha kwanza Magufuli 3-0 Lissu...
Ila nina hofu na kipindi cha pili,Lissu aweza yarudisha yote na kuyaongeza!
 
Leo nimechukua ED ya siku mbili kabisa ili nisikilize vizuri na niweze kushiriki mijadala mbalimbali bila kubugudhiwa
 
Back
Top Bottom