Naogopa kufa kabla ya mgao wa makinikia (NOAH)Marahaba ! Macho muda huu?
ni fedhehea kwa kijana kama wewe kung'ang'ania kufikiria habari za kishirikina muda wote!
Sana tu huku wachina ndo wanachukua kila kitu. Gas, vito ingawa na wengine ila hayo makinikia hasa wachina. Dunia yote ni taabu tu.Huko huko dada?
Mkuu nitaiandikia kabisa serikali barua ya Mirathi..ikitokea Mungu amenihitaji, kabla ya mgao, Noah yangu apewe Magidalena....ila mazungumzo yatachukua si chini ya miaka mitano